Mwamposa apelekewa sadaka na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam

Mwamposa apelekewa sadaka na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Hapo vip!

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, jana ameshiriki ibada kwa Mtume Mwamposa.

Nimemsikia akisema Rais amempa sadaka ampelekea Mwamposa, akamkabidhi bahasha mtumishi wa Mungu, akaongea ongea hapo vitu ambavyo havieleweki.

Mwamposa nakushauri hiyo pesa itakase nahisi itakuwa ni mgawo uliotoka kule kwenye pesa haramu.
 
akaongea ongea hapo vitu ambavyo havieleweki kisha akasimama akaenda zakee kwa amani
 
Unashangaa nini wakati alishasema atakutana na viongozi wa dini ili waweze kumuunga mkono bosi wake.
 
Hiyo nayo niliisikia kwa shughuda mmoja.

Hizo bahasha waambie wapeleke kimya kimya, wasianzishe tena mijadala ya kiimani.
 
Back
Top Bottom