Ubungo Mataa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2018
- 411
- 725
- Thread starter
-
- #21
Wachache ndio tunaelewa hivi vitu..KAKAAAAA KAKAKAAAAA HUWA NAGAWA MAN OF THE YR MWISHO WA MWAKA ILA KWA ALIYOFANYA JANAAAAA
THIS IS MAN OT HE YR 2024 AISEE AISEE SALUTE DK POPOTE ULIPOOOOOOO
YAAN NILIKUWA PALE NIKAONDOKA KUKAA NA NDUGU SEHEEMU KURUDI SAA KUMI NAMOJA ANGALIA TV YUMOOO ACHAAA AISEEE MUNGU AKUBARILI SANAA
Yesu alikuwa anatimiza tuu maandiko. Elewa hilo pia, everything was planned.Aliposhindwa kujiokowa Yesu alipiga kelele kumuomba Allah amsaidie, huyo ndiyomwokozi wetu na Yesu pia ndiye mwokozi wake aliyemuita wakati wa matatizo.
Usisahau hilo.
Hayo unasema wewe, una haki na maoni yako.Yesu alikuwa anatimiza tuu maandiko. Elewa hilo pia, everything was planned.
Wajinga ndio waliwao. Tunakupa kile wakitaka ila Mungu wa kweli hana mbwembeHeshima kwenu wanabodi..
Jana wakati nasubiri kuupokea mwaka mpya nilikuwa nimetulia tu nyumbani nikiwa nawatch kideo.
Baada ya kuunglia chanel kadhaa ndio nikakutana na mkesha wa kihistoria wa Boniphace Mwamposa, chuma kilikuwa kinaunguruma kutoa viwanja vya Tanganyika Packers Kawe. Aisee huyu jamaa ni mtu na nusu, mahubiri ya nguvu, shuhudi za kwali na maombi yaliyoenda shule za International.
Serikal izungumze neno, huyu jamaa awe hata mwombezi rasmi wa taifa.. ni fundi!
Nikakabidhi na mimi maombi yangu kumi na mbili kama kawaida.. Sasa nikuanza kuyapambania usiku na mchana hadi yatimie kama nilivyoomba kupitia madhabahu ile kuu.
Heri ya mwaka mpya 2024 kwenu nyote!
Heshima kwenu wanabodi..
Jana wakati nasubiri kuupokea mwaka mpya nilikuwa nimetulia tu nyumbani nikiwa nawatch kideo.
Baada ya kuunglia chanel kadhaa ndio nikakutana na mkesha wa kihistoria wa Boniphace Mwamposa, chuma kilikuwa kinaunguruma kutoa viwanja vya Tanganyika Packers Kawe. Aisee huyu jamaa ni mtu na nusu, mahubiri ya nguvu, shuhudi za kwali na maombi yaliyoenda shule za International.
Serikal izungumze neno, huyu jamaa awe hata mwombezi rasmi wa taifa.. ni fundi!
Nikakabidhi na mimi maombi yangu kumi na mbili kama kawaida.. Sasa nikuanza kuyapambania usiku na mchana hadi yatimie kama nilivyoomba kupitia madhabahu ile kuu.
Heri ya mwaka mpya 2024 kwenu nyote!
TalentedWachache ndio tunaelewa hivi vitu..
Machawa wa Mungu.. Sio Mwamposa mkuuMachawa wa mwamposa wamekua wengi kweli humu ndani, inaonekana wanalipwa vizuri sana
Amina mkuuHeri ya mwaka mpya kwako pia[emoji1666]
Kumwamin Mungu ni ujinga sio?Wajinga hawawezi kuisha hapa Duniani.
Toa avidence kuwa anatumia ushirikina.. Usiongee wakat mwaka bado hata haujaanza kukuchanganya.Huyu jamaa kawashika wajinga haswa!
Mtu anajipa sifa na utukufu kwa kutumia ushirikina kuwafubaza akili wafuasi awakamue sadaka kisha aendelee na mishe zake haram kwa mgongo wa kanisa
Niliwahi kwenda kumuona miaka fulani ya nyuma kipindi akianza kung'aa.Toa avidence kuwa anatumia ushirikina.. Usiongee wakat mwaka bado hata haujaanza kukuchanganya.
Toa ushuhudi, si alipona lakin au?Niliwahi kwenda kumuona miaka fulani ya nyuma kipindi akianza kung'aa.
Nilimpeleka bi mkubwa, eti kumuona tu laki na nusu., ok tukatoa.
Akampa bi mkubwa mafuta ya kupaka miguu sijui na viushubwada gani, jumla 200K hivi na ushee.
Ndo mtumishi huy0??