Mwamposa apewe maua yake

Mwamposa apewe maua yake

KAKAAAAA KAKAKAAAAA HUWA NAGAWA MAN OF THE YR MWISHO WA MWAKA ILA KWA ALIYOFANYA JANAAAAA

THIS IS MAN OT HE YR 2024 AISEE AISEE SALUTE DK POPOTE ULIPOOOOOOO

YAAN NILIKUWA PALE NIKAONDOKA KUKAA NA NDUGU SEHEEMU KURUDI SAA KUMI NAMOJA ANGALIA TV YUMOOO ACHAAA AISEEE MUNGU AKUBARILI SANAA
Wachache ndio tunaelewa hivi vitu..
 
Aliposhindwa kujiokowa Yesu alipiga kelele kumuomba Allah amsaidie, huyo ndiyomwokozi wetu na Yesu pia ndiye mwokozi wake aliyemuita wakati wa matatizo.

Usisahau hilo.
Yesu alikuwa anatimiza tuu maandiko. Elewa hilo pia, everything was planned.
 
Heshima kwenu wanabodi..

Jana wakati nasubiri kuupokea mwaka mpya nilikuwa nimetulia tu nyumbani nikiwa nawatch kideo.

Baada ya kuunglia chanel kadhaa ndio nikakutana na mkesha wa kihistoria wa Boniphace Mwamposa, chuma kilikuwa kinaunguruma kutoa viwanja vya Tanganyika Packers Kawe. Aisee huyu jamaa ni mtu na nusu, mahubiri ya nguvu, shuhudi za kwali na maombi yaliyoenda shule za International.

Serikal izungumze neno, huyu jamaa awe hata mwombezi rasmi wa taifa.. ni fundi!

Nikakabidhi na mimi maombi yangu kumi na mbili kama kawaida.. Sasa nikuanza kuyapambania usiku na mchana hadi yatimie kama nilivyoomba kupitia madhabahu ile kuu.

Heri ya mwaka mpya 2024 kwenu nyote!
Wajinga ndio waliwao. Tunakupa kile wakitaka ila Mungu wa kweli hana mbwembe
 
Heshima kwenu wanabodi..

Jana wakati nasubiri kuupokea mwaka mpya nilikuwa nimetulia tu nyumbani nikiwa nawatch kideo.

Baada ya kuunglia chanel kadhaa ndio nikakutana na mkesha wa kihistoria wa Boniphace Mwamposa, chuma kilikuwa kinaunguruma kutoa viwanja vya Tanganyika Packers Kawe. Aisee huyu jamaa ni mtu na nusu, mahubiri ya nguvu, shuhudi za kwali na maombi yaliyoenda shule za International.

Serikal izungumze neno, huyu jamaa awe hata mwombezi rasmi wa taifa.. ni fundi!

Nikakabidhi na mimi maombi yangu kumi na mbili kama kawaida.. Sasa nikuanza kuyapambania usiku na mchana hadi yatimie kama nilivyoomba kupitia madhabahu ile kuu.

Heri ya mwaka mpya 2024 kwenu nyote!



Kwa kukusanya watu hakuna wa kuvunja record, ila sio mtumishi wa Mungu wa kweli
 
Tayari yule ni mwombezi wa taifa hili japo kuna waombezi wengine wengi pia.
 
Huyu jamaa kawashika wajinga haswa!
Mtu anajipa sifa na utukufu kwa kutumia ushirikina kuwafubaza akili wafuasi awakamue sadaka kisha aendelee na mishe zake haram kwa mgongo wa kanisa
Toa avidence kuwa anatumia ushirikina.. Usiongee wakat mwaka bado hata haujaanza kukuchanganya.
 
Toa avidence kuwa anatumia ushirikina.. Usiongee wakat mwaka bado hata haujaanza kukuchanganya.
Niliwahi kwenda kumuona miaka fulani ya nyuma kipindi akianza kung'aa.
Nilimpeleka bi mkubwa, eti kumuona tu laki na nusu., ok tukatoa.
Akampa bi mkubwa mafuta ya kupaka miguu sijui na viushubwada gani, jumla 200K hivi na ushee.
Ndo mtumishi huy0??
 
Niliwahi kwenda kumuona miaka fulani ya nyuma kipindi akianza kung'aa.
Nilimpeleka bi mkubwa, eti kumuona tu laki na nusu., ok tukatoa.
Akampa bi mkubwa mafuta ya kupaka miguu sijui na viushubwada gani, jumla 200K hivi na ushee.
Ndo mtumishi huy0??
Toa ushuhudi, si alipona lakin au?
 
Back
Top Bottom