Road Traffic Signal
JF-Expert Member
- Mar 17, 2022
- 621
- 1,958
Alipona wapi?Toa ushuhudi, si alipona lakin au?
Alifariki kitambo sana, hela tulipigwa kwa huduma ya kiroho, duh, tena sio mara moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alipona wapi?Toa ushuhudi, si alipona lakin au?
Hapana mwenzangu umedanganya. Hawa wakristo hawakubaliani na allah kabisa na hawamtambui. allah kwao ni shetani hana uhusiano kabisa na Mungu wao Jehovah.Aliposhindwa kujiokowa Yesu alipiga kelele kumuomba Allah amsaidie, huyo ndiyomwokozi wetu na Yesu pia ndiye mwokozi wake aliyemuita wakati wa matatizo.
Usisahau hilo.
Badala ya kusema serikali impe ratiba ya kutembelea na kufanya maombi hospitals unakuja na mapambio ya kipuuzi hapa.Heshima kwenu wanabodi..
Jana wakati nasubiri kuupokea mwaka mpya nilikuwa nimetulia tu nyumbani nikiwa nawatch kideo.
Baada ya kuunglia chanel kadhaa ndio nikakutana na mkesha wa kihistoria wa Boniphace Mwamposa, chuma kilikuwa kinaunguruma kutoa viwanja vya Tanganyika Packers Kawe. Aisee huyu jamaa ni mtu na nusu, mahubiri ya nguvu, shuhudi za kwali na maombi yaliyoenda shule za International.
Serikal izungumze neno, huyu jamaa awe hata mwombezi rasmi wa taifa.. ni fundi!
Nikakabidhi na mimi maombi yangu kumi na mbili kama kawaida.. Sasa nikuanza kuyapambania usiku na mchana hadi yatimie kama nilivyoomba kupitia madhabahu ile kuu.
Heri ya mwaka mpya 2024 kwenu nyote!
Kwa hakika kinacho fanyika ni kumtukuza mtu na sio MunguMachawa wa Mungu.. Sio Mwamposa mkuu
Hivi Mudi aliwahi kufanya muujiza wowote kama manabii na mitume wenzie akina Musa, na Eliya, na Elisha kweli?Aliposhindwa kujiokowa Yesu alipiga kelele kumuomba Allah amsaidie, huyo ndiyomwokozi wetu na Yesu pia ndiye mwokozi wake aliyemuita wakati wa matatizo.
Usisahau hilo.
Gifted con artist who has mastered the art of manipulation.Mwamposa is gifted
Daah nimesoma hii nmeskia hasira kinoma sijui kwanini.. ivi mtu unaaminije vitu kama vile?Kwahiyo kilichokuwa kinaonyeshwa kwenye TV na kile cha uwanjani ni tofauti? Mkuu ilikuwa LIVE, bila chenga