Mwamposa na Lugumi mnawafanya Watanzania hawana akili ya kugundua mchezo wenu kuhusu ujenzi wa ghorofa za yatima Dar

Baada ya kuzulumiana!; yaliyo mvuunguni yatakuja kusemwa juu ya mapaa ya nyumba!
Muda Utasema!
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Walaaaaaaaa
Huyo team Mwamuposa
Kila mtu ana pokea yake humu

Maneno hayo y unapenda kuyatafufa na wakati mwingine nakosea sanaaaaa kisa mtu majibu uzi wako.

Kaava kwenye mada nawe unazoleta πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Takataka.
 
Takataka.
 
Tusema Nyumba za Mwamposa kupitia Lugumi sawa. Wao wanapata faida gani kama kweli watoto yatima wataishi humo? Zitazalisha vp hizo Nyumba kutoa faida au kurudisha hela zao? Either way naona ni win win situation unless hayo maghorofa yatumike tofauti na ilivyoelezwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…