Mwamposa na Lugumi mnawafanya Watanzania hawana akili ya kugundua mchezo wenu kuhusu ujenzi wa ghorofa za yatima Dar

Mwamposa na Lugumi mnawafanya Watanzania hawana akili ya kugundua mchezo wenu kuhusu ujenzi wa ghorofa za yatima Dar

Yaani Mwamposa umeona ukisema hizo Nyumba ni zako Utasababisha Waumini wako unaowakamua Kutwa waanze Kukukacha hivyo ukamtafuta Rafiki yako Lugumi kwakuwa Yeye ni Mfanyabishara basi ajifanye ni zake kisha Wewe ucheze Mchezo wa Waandishi wa Habari wajifanye wanakuja Kukuhoji kisha uanze Kumsifia Lugumi na ujifichie katika Kimvuli chake.

Soma Pia:
Na wenye Akili tunajua nyuma ya hizo Nyumba kuna Jambo na nasikia mtazijenga nchi nzima na kuna Mtu mkubwa sana atawasifieni Siku si nyingi kwa hizo Nyumba kisha nae ataweka mzigo ili mpango fulani wa Kuvuna Fedha na kufanya Uwekezaji mkubwa wa Kibiashara wa muda mrefu utimie.

Siyo kila Mtanzania ana Akili nzito za kutoweza kutambua Jambo kama mlilolifanya.
Baada ya kuzulumiana!; yaliyo mvuunguni yatakuja kusemwa juu ya mapaa ya nyumba!
Muda Utasema!
 
😅😅😅
Walaaaaaaaa
Huyo team Mwamuposa
Kila mtu ana pokea yake humu

Maneno hayo y unapenda kuyatafufa na wakati mwingine nakosea sanaaaaa kisa mtu majibu uzi wako.

Kaava kwenye mada nawe unazoleta 😂😂😂
Takataka.
 
Acha kumzushia mtumishi wa Mungu bila ushahidi.

Ndio maana kila siku unapigwa ban.

Hizo ni side effects za kuwazushia watumishi wa Mungu.

Hizo ban unazo pigwa JF zinaweza kuwa reflection of what is going on in your life in the spiritual realm.

Ni viboko vya kiroho hivyo unapigwa

Ndio maana hunaga hela
Takataka.
 
Tusema Nyumba za Mwamposa kupitia Lugumi sawa. Wao wanapata faida gani kama kweli watoto yatima wataishi humo? Zitazalisha vp hizo Nyumba kutoa faida au kurudisha hela zao? Either way naona ni win win situation unless hayo maghorofa yatumike tofauti na ilivyoelezwa.
 
Back
Top Bottom