Mwamposa naona sasa baada ya Mpinzani wako na uliyekuwa ukimuogopa 'Kiboko ya Wachawi' Kufungiwa na Serikali, umenenepa ghafla

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tunajua umetumia Nguvu kubwa na Ukaribu wako na Waandamizi wote wa Chama na Serikali katika Kuwashawishi wafanye wawezavyo ili Mpinzani wako Kiboko ya Wachawi apigwe Pingu ya Kihuduma kwani nasikia hata sehemu ya Waumini wako walikuwa wanaanza Kukukimbia na kwenda Kwake Buza.
 
Ndio kamfanyia figisu zote hizo? 😂😂
 
Shida aliingia kichwa kichwa wakati mwenzake ana ID 2 😂😂
 
Hao wanajuana kama alikuwa mchungaji wako tafuta mwingine au kaandamane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…