GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Ndio kamfanyia figisu zote hizo? 😂😂Tunajua umetumia Nguvu kubwa na Ukaribu wako na Waandamizi wote wa Chama na Serikali katika Kuwashawishi wafanye wawezavyo ili Mpinzani wako Kiboko ya Wachawi apigwe Pingu ya Kihuduma kwani nasikia hata sehemu ya Waumini wako walikuwa wanaanza Kukukimbia na kwenda Kwake Buza.
Unauliza Vilio Mochwari?Ndio kamfanyia figisu zote hizo? 😂😂
Shida aliingia kichwa kichwa wakati mwenzake ana ID 2 😂😂Tunajua umetumia Nguvu kubwa na Ukaribu wako na Waandamizi wote wa Chama na Serikali katika Kuwashawishi wafanye wawezavyo ili Mpinzani wako Kiboko ya Wachawi apigwe Pingu ya Kihuduma kwani nasikia hata sehemu ya Waumini wako walikuwa wanaanza Kukukimbia na kwenda Kwake Buza.
Habari ndiyo hiyo Mkuu. GENTAMYCINE sijawahi kuja na Info ya Kukoteza na nikija na Info hapa jua nimeitoa Jikoni Kwao.Kumbe ni kweli Kaka Mkubwa?
Uko sahihi 100%Alikuwa tishio kwa wenzake wakamfanyia figisu kama zumarid
Hao wanajuana kama alikuwa mchungaji wako tafuta mwingine au kaandamaneTunajua umetumia Nguvu kubwa na Ukaribu wako na Waandamizi wote wa Chama na Serikali katika Kuwashawishi wafanye wawezavyo ili Mpinzani wako Kiboko ya Wachawi apigwe Pingu ya Kihuduma kwani nasikia hata sehemu ya Waumini wako walikuwa wanaanza Kukukimbia na kwenda Kwake Buza.
Hadi 'Bidashi' wenu yumo nae.Daaa nooma Sanaa inaonekana hao viongozi waandamizi mwamposaa ndioo anawapelekaga Kwa mganga wakee.na Kwenye kampeni za CCM mwakani watamtumia sanaaaa..
Mmoja ni Mchawi na Mganga na Mwingine ni Mchawi, Tapeli na Mzinzi.Ila wote ndio wale wale