DALALI MKUU
JF-Expert Member
- May 7, 2022
- 2,011
- 4,705
Kuna vitu kwa kawaida huwezi kuvielewa Mkuu. Imagine hadi Zumaridi ana wafuasiUjinga huja yakikukuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vitu kwa kawaida huwezi kuvielewa Mkuu. Imagine hadi Zumaridi ana wafuasiUjinga huja yakikukuta
Mambo ya imani hayachunguziki,Kuna vitu kwa kawaida huwezi kuvielewa Mkuu. Imagine hadi Zumaridi ana wafuasi
: 6 Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa; kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa, mimi nami nitakukataa wewe, usiwe kuhani kwangu mimi; kwa kuwa umeisahau sheria ya Mungu wako, mimi nami nitawasahau watoto wako. HOSEA 4:6Alipoenda Moshi, watu walikufa kwa msongamano, "hivi ninyi watu, bado hamjashtuka?" Ni mbinu katika ulimwengu wa roho.
ndio maana nikasema kuna vitu kwa namna ya kawaida huwezi kuvielewa, ila wewe ambaye upo nje utaona kama ni wajinga, hawajita mbui n.k kuna vitu Mungu na manabii wake walishavitabiri na ni lazima vitatokea hivyo kuna mambo mengine ni ili kusudi la Mungu litimie. Kutokea kwa makristo wa Uongo na manabii wa Uongo hilo haliepukikiMambo ya imani hayachunguziki,
Hata mwenye phd uenda kwa mganga asiyesoma.
Inaanza siasa then inafata dini, au vice versa! Hizi kada mbili kwa Tanzania zinaongoza katika kuingizia watu pesa.Dini ni biashara Kubwa sana ukiachilia sekta ya nishati na madinii.
hiyo siasa ndio dini biashara sasaInaanza siasa then inafata dini, au vice versa! Hizi kama mbili kwa Tanzania zinaongoza katika kuingizia watu pesa.
Sasa ulitaka sadaka zifikaje kwa mtu aliyeko kigoma,lindi,songea,rukwa nkLipa kwa Simu kwa mujibu wa Watu wa Makampuni ya Simu na kwa Maagizo ya Serikali ni Maalum tu kwa Wafanyabiashara na siyo Watu Wengine.
Hivyo basi GENTAMYCINE nauliza hii LIPA KWA SIMU ya Tigo Pesa namba 5135393 yenye Jina la Boniface Mwamposa amepewa kama Mtumishi wa Mungu au Mtumishi wa Mungu Mfanyabiashara?
Endeleeni tu Kumlea vibaya na Kumpendelea huyu Mtu ( kwakuwa baadhi yenu anawaombeeni Virusi visinzie Miilini mwenu na Wengine mtuibie vizuri katika Nyadhifa zenu mbalimbali ) huku Wengine kama Yeye ( Mfano Mwingira wa Mwenge ) mkiwanyanyasa ila yana mwisho na mtakuja Kunikumbuka siku moja kuwa Mimi Zanaki and Makuwa Think Tank ( GENTAMYCINE ) ni Muona mbali Niliyebarikiwa na Mwenyezi Mungu.
Ukista ajabu ya Musa utayaona ya MwaiposaLipa kwa Simu kwa mujibu wa Watu wa Makampuni ya Simu na kwa Maagizo ya Serikali ni Maalum tu kwa Wafanyabiashara na siyo Watu Wengine.
Hivyo basi GENTAMYCINE nauliza hii LIPA KWA SIMU ya Tigo Pesa namba 5135393 yenye Jina la Boniface Mwamposa amepewa kama Mtumishi wa Mungu au Mtumishi wa Mungu Mfanyabiashara?
Endeleeni tu Kumlea vibaya na Kumpendelea huyu Mtu ( kwakuwa baadhi yenu anawaombeeni Virusi visinzie Miilini mwenu na Wengine mtuibie vizuri katika Nyadhifa zenu mbalimbali ) huku Wengine kama Yeye ( Mfano Mwingira wa Mwenge ) mkiwanyanyasa ila yana mwisho na mtakuja Kunikumbuka siku moja kuwa Mimi Zanaki and Makuwa Think Tank ( GENTAMYCINE ) ni Muona mbali Niliyebarikiwa na Mwenyezi Mungu.
MATHAYO 10:8.Lipa kwa Simu kwa mujibu wa Watu wa Makampuni ya Simu na kwa Maagizo ya Serikali ni Maalum tu kwa Wafanyabiashara na siyo Watu Wengine.
Hivyo basi GENTAMYCINE nauliza hii LIPA KWA SIMU ya Tigo Pesa namba 5135393 yenye Jina la Boniface Mwamposa amepewa kama Mtumishi wa Mungu au Mtumishi wa Mungu Mfanyabiashara?
Endeleeni tu Kumlea vibaya na Kumpendelea huyu Mtu ( kwakuwa baadhi yenu anawaombeeni Virusi visinzie Miilini mwenu na Wengine mtuibie vizuri katika Nyadhifa zenu mbalimbali ) huku Wengine kama Yeye ( Mfano Mwingira wa Mwenge ) mkiwanyanyasa ila yana mwisho na mtakuja Kunikumbuka siku moja kuwa Mimi Zanaki and Makuwa Think Tank ( GENTAMYCINE ) ni Muona mbali Niliyebarikiwa na Mwenyezi Mungu.
Kwanini tusihamie kwa Buddhism, Paganism, Rastafarians, au Hinduism mbali na uislamu pekee?Hamieni kwenye uislamu ,dini ya kweli na haki .
Beyonce kacheza uchi miaka 10 akiwa mwanamziki, 2016 alifungua dini yake akijiita mungu na biblia yake feki nchini Marekani na Watu walijaa tele kanisani kwake.Kuna vitu kwa kawaida huwezi kuvielewa Mkuu. Imagine hadi Zumaridi ana wafuasi
sio manabii wa Uongo tu ndio wenye wafuasi hata waganga wana wafuasi, mashoga wana wafuasi, vyama vya siasa vina wafuasi n.k kinachofanyika hapo katika ya hao wafusi kuna kundi wanalonufaika na kuna kundi linalotumiwa.Beyonce kacheza uchi miaka 10 akiwa mwanamziki, 2016 alifungua dini yake akijiita mungu na biblia yake feki nchini Marekani na Watu walijaa tele kanisani kwake.
Kama duniani wajinga si wengi basi ni njaa tu ndiyomaana Manabii wa uwongo wanapata Watu.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ili mtuvishe mabomu tukajilipuwe tuwahi mabikra ahera? Wenye macho Kama vikombeHamieni kwenye uislamu ,dini ya kweli na haki .