Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nakujibu hoja yako kwa swali..jee, ikitokea wewe umetunukiwa zawadi from no where... let say ni mtaji mtu amekupa tu uendeshe biashara zako ukishasimama utamrudishia kidogo kidogo....huo bila shaka ni muujiza ambao mungu kakutendea na utamshukuru mungu!! jee huo mtaji kakupa mungu au huyo jamaa aliekupa huo mtaji. nahitimisha hivii....... Mungu anatoa baraka kupitia watu, usingeweza kuzipokea hizo hela moja kwa moja kutoka mbinguni!Eti anagawa baraka!? Amekua mungu au?
We jamaa wewe, humuogopi ata mungu!? we ni binadamu kweli au ni computer imetype....Kwanza, Mungu hayupo.
Pili, Hizo sheria unazo dai ziliwekwa na Mungu ni Sheria za wanadamu wachache wajanja walio unda mfumo wa kula hela za Wajinga kwa jina la Sadaka.
Tatu, Vitabu vyote vya kidini ni stori za kusadikika, Fiction stories.
em, kama kweli we ni mwanadamu na uko siriaz na unachosema kuwa mungu hayupo nikupe tafakari fupi sana afu ukiitafakari vyema ukaielewa sawa hutarudia tena kusema hivo, kama hautonielewa basi nakuomba sana usirudie tena kutamka au kuandika chochote kuhusu mungu, ata ukiona post yyte usicomment chochote we pita tu, hilo ni ombi! tafakari......tangu ukiwa tumboni aliyekuwa anasimamia usalama wako ni nan? ni mama yako et? kamuulize mama yako vzr.. akupe hio siri usijifanye mjanja kuliko mama yako huenda ata mimba yako walitaka waitoe na ikagoma na upo hai sasa! ok, may become umejipambania mwenyewe fine! fikiria kupumua kwako muda huu unajua hiyo compressor humo ndani ndani ya mwili wako kafunga Nani!?ok, labda ni mzungu kafunga hyo breathing system! jee umeme wa kuendesha huo mtambo unatoka wapi. ndani ya mwili wako kuna mtambo wa kusindika chakula nan kaufunga mzee baba,? ni mzungu et! kwenye mwili wako kuna pump ya kusukuma damu(moyo) nan anaiendesha hyo pamp mzee, kwenye kichwa chako kuna computer ambayo inafanya kazi kuliko computer yeyote unayoijua wewe apa duniani, kwa siku inahifadhi vitu most of 64gb, kwenye mwili wako Kuna engine ya kukuwezesha kutembea au kukimbia, ok, nambie basi huo mwili wako umetengenezwa kwa material gani! Mwishooooo...... nan kaifunga hyo mitambo yote na inatoa wap umeme au unafikir maharage na ugali unaokula ndio yanatoa umeme kuendesha mitambo yote hyooo?Na wewe unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
Kitu kisicho kuwepo haki hitaji uthibitisho wa kuto kuwepo kwake kwa vile hakipo na hakijulikani.
Ukisema kitu kipo ndio unatakiwa uthibitishe kipoje.
Kule kwenu temboni ni janga! Hii mijitu sijui ipojeKuhusu sadaka mimi sipendezwi kabisa kwaza nikisikia habar za Mwamposa nahisi kufa kufa tu
Dah acha tu
Kwa nini Mungu anapaswa kuogopwa?We jamaa wewe, humuogopi ata mungu!? we ni binadamu kweli au ni computer imetype....
Wewe ndo wale watu wasiopenda kukosolewa, ukikosolewa unashika mawe...unajisaidia kichakani tunakuambia afu we unatujibu kunyeni na nyie tusifwatiliane!? jifunze kuskiliza zaidi watu afu fanya kile unachopenda kufanyiwa na wengine na usifanye usichopenda kufanyiwa.Mzee umeenda na fantasy zako wewe muache na huduma yake.
Ikibidi anzisha yako kurekebisha unapoona wewe anakosea.
Kama tukiwa tumboni anaye simamia usalama wetu ni Mungu,em, kama kweli we ni mwanadamu na uko siriaz na unachosema kuwa mungu hayupo nikupe tafakari fupi sana afu ukiitafakari vyema ukaielewa sawa hutarudia tena kusema hivo, kama hautonielewa basi nakuomba sana usirudie tena kutamka au kuandika chochote kuhusu mungu, ata ukiona post yyte usicomment chochote we pita tu, hilo ni ombi! tafakari......tangu ukiwa tumboni aliyekuwa anasimamia usalama wako ni nan? ni mama yako et? kamuulize mama yako vzr.. akupe hio siri usijifanye mjanja kuliko mama yako huenda ata mimba yako walitaka waitoe na ikagoma na upo hai sasa! ok, may become umejipambania mwenyewe fine! fikiria kupumua kwako muda huu unajua hiyo compressor humo ndani ndani ya mwili wako kafunga Nani!?ok, labda ni mzungu kafunga hyo breathing system! jee umeme wa kuendesha huo mtambo unatoka wapi. ndani ya mwili wako kuna mtambo wa kusindika chakula nan kaufunga mzee baba,? ni mzungu et! kwenye mwili wako kuna pump ya kusukuma damu(moyo) nan anaiendesha hyo pamp mzee, kwenye kichwa chako kuna computer ambayo inafanya kazi kuliko computer yeyote unayoijua wewe apa duniani, kwa siku inahifadhi vitu most of 64gb, kwenye mwili wako Kuna engine ya kukuwezesha kutembea au kukimbia, ok, nambie basi huo mwili wako umetengenezwa kwa material gani! Mwishooooo...... nan kaifunga hyo mitambo yote na inatoa wap umeme au unafikir maharage na ugali unaokula ndio yanatoa umeme kuendesha mitambo yote hyooo?
Una uthibitisho kwamba Mungu alituumba?ndo useme sasa mungu amekuumba ili uje ufanye nini duniani au hujui?
Wewe ulizaliwa na kasoro gan mzee, huenda nmekutana na mlemavu pasipo kujua,Kama tukiwa tumboni anaye simamia usalama wetu ni Mungu,
Vipi watoto wanao zaliwa wamekufa?
Vipi wanao zaliwa na matatizo ya vichwa vikubwa?
Vipi wanao zaliwa njiti?
Mungu muweza wa yote, Anashindwaje kusimamia usalama wa hawa watoto wasizaliwe na haya matatizo?
Huoni kwamba Mungu hayupo?
Nishapokea upako shida nini tnUpo kama mimi, akianza hizo mi nahamisha chanel
Mimi au wewe kutokuzaliwa na kasoro au walemavu, Haimaanishi kwamba dunia nzima Hakuna watoto wasio zaliwa na kasoro au ulemavu, watoto wanao zaliwa na kasoro wapo na walemavu wapo pia.Wewe ulizaliwa na kasoro gan mzee, huenda nmekutana na mlemavu pasipo kujua,