Mwamposa, ni vyema ukarekebisha baadhi ya vitu ambavyo ni kero kwa waumini wako na jamii kwa ujumla

Mwamposa, ni vyema ukarekebisha baadhi ya vitu ambavyo ni kero kwa waumini wako na jamii kwa ujumla

hili swala la kuwafokea wahudumu ata mimi siipendi, pia kuna mchungaji wake nadhani anaitwa baraka nae ameiga kwa mwamposa kuwafokea wahudumu.

Binadamu mapungufu ni kawaida.

Mungu amtie nguvu awashe taa kila mkoa.
 
Mtumishi wa mungu ni vyema kuzingatia jamii na waumini wanataka nini katika maisha yao, yafuatayo ni kero nilizozibaini mimi kama miongon mwa waumini wake.

1. Ibada ndefu/ mpaka usiku inayopelekea usafiri kuwa wa shida, kumbuka waumini wengi wanategemea usafiri wa uma afu wanakaa mbali afu wana watoto na pengine hupelekea kukabwa usiku kwa waenda kwa miguu.

2.Kutokukemea dhambi, mimi ni mhudhuriaje mkubwa wa ibada kwa Mwamposa lakini skumbuk ni lini kakemea dhambi, ingawaje watu wanaenda pale wa kila aina, makahaba, malaya, wezi, mashoga n.k. Lakini mtumishi anadeal sana na kutoa baraka na upako pasipo kuhubiri amani,upendo,na maadili mema ukizingatia kuhusu jinamizi hili la ushoga, mtumishi ongelea ata hili tu kwa ufupi kanisa la mwamposa limekuwa kichaka cha watenda maovu, wanafurahia kutoongelewa. labda anahofia waumini kukimbia kanisa!?

3. Sadaka ni nyingi mmezipa majina mengi afu mnatoa baraka/upako kulingana na kipato cha mtu...yaan wewe mwenye elfu 5 unatofautishiwa baraka na yule mwenye kutoa elfu 50. Jambo hili linawafanya walio na kipato cha chini kujihisi wanyonge au kujihisi kupungukiwa na kitu..jambo hili binafsi linanikera na mnawapa adui zenu nafasi ya kupondea huduma hii.

4.Ukali(kufokewa).. mtumishi amekosa kauli ya kuwarekebisha watenda kazi wake pale wanapokosea amekuwa akiwadhalilisha kwa kuwafokea mbele za watu na mbele ya kamera kama mtumishi unapaswa kuwa mtaratibu kukemea kwa hekima kwa kutambua wengine ni watu wazima wana familia zao...utasikia toa hyu apa wekeni mtu sahihi pale...walinzi,washika maiki, camera man, wanafanya kazi kwa hofu kubwa sanaaa..waondolee hofu wafanyakazi wako!

Ni hayo tu niliyobaini mimi..naomba yeyote mwenye uwezo wa kufikisha haya ayafikishe kwa namna yyte ilee.... lakini pamojaa na hayo nimepokea muujiza kupitia ibada yake mungu ambariki na ajirekebishe ili huduma iwe rafik kwa wengi! Ahsanten na samahani kwa uandishi mbovu.
Huyo ni mtumishi wa wanadamu au wa Mungu? Mungu pia anagawa kwa mafungu, mwenye nacho huzidishiwa.

Pambana kutafuta riziki, Mungu angekuwepo, tusingeishi kwa mafungu hivi.

Mungu anaruhusu wauza ngada, wapiga rushwa, majambazi, matapeli kupata riziki. Lakini wapiga kazi halali kila siku wanaangukia pua. ndo mungu huyo.

Wanadamu, hakuna mungu duniani wala mbinguni. Pambana kutafuta maisha kwa muda uliobahatika kuishi. Kama mungu angekuwepo wale wanaoeneza ushoga wakitumia mkwanja asingewapa huo mkwanja.

Mungu mungu!! Hayupo, ni dhana tu.
 
Asibadilishe tena afanye ibada kuwa siku mbili (masaa 48)
Na michango aifanye iwe 12 ili awanyooshe!
Kama huna ukauze nyumba umpelekee!
Wajinga ndio waliwao hawatakaa waishe huku duniani hadi kiyama
 
Kama umeyaona yote hayo kinachokufanya uendelee kuwepo ni Nini? Washauri na wenzako wasepe. Sijawahi Mimi kukanyaga pale japo nipo maeneo ya Kawe. Huenda jamaa anachukuwa nyota za watu. Anapata kipato kikubwa sana, sijui Kama TRA wanajua.
 
Mmekosea sana.na mam Ako mzazi hapazwi kuwa msela Kia's Cha mama Ako namshanga sna haendi kanisani Wala hatoi sadaka ,fungu la kumi ,malimbuko,shukrani za pekee yukoyuko tu

Ni hatari San kwa mzazi wa Aina hyo
Wewe nenda .. tuache tulivo. Mbona kiherehere and ao judgemental?
 
Naamini katika uwezo wa Mungu lakini sio kupitia Mwamposa. Namuona ni nabii wa uongo asiyekemea dhambi wala kuwa na fadila yoyote ya kikristo. Kwanini watu bado wanamwamini hata baada ya kuona kuwa ni mpiga sadaka?!
Dhambi ndio maisha yenyewe hazitakaa ziishe ata akikemea .
 
Mtumishi wa mungu ni vyema kuzingatia jamii na waumini wanataka nini katika maisha yao, yafuatayo ni kero nilizozibaini mimi kama miongon mwa waumini wake.

1. Ibada ndefu/ mpaka usiku inayopelekea usafiri kuwa wa shida, kumbuka waumini wengi wanategemea usafiri wa uma afu wanakaa mbali afu wana watoto na pengine hupelekea kukabwa usiku kwa waenda kwa miguu.

2.Kutokukemea dhambi, mimi ni mhudhuriaje mkubwa wa ibada kwa Mwamposa lakini skumbuk ni lini kakemea dhambi, ingawaje watu wanaenda pale wa kila aina, makahaba, malaya, wezi, mashoga n.k. Lakini mtumishi anadeal sana na kutoa baraka na upako pasipo kuhubiri amani,upendo,na maadili mema ukizingatia kuhusu jinamizi hili la ushoga, mtumishi ongelea ata hili tu kwa ufupi kanisa la mwamposa limekuwa kichaka cha watenda maovu, wanafurahia kutoongelewa. labda anahofia waumini kukimbia kanisa!?

3. Sadaka ni nyingi mmezipa majina mengi afu mnatoa baraka/upako kulingana na kipato cha mtu...yaan wewe mwenye elfu 5 unatofautishiwa baraka na yule mwenye kutoa elfu 50. Jambo hili linawafanya walio na kipato cha chini kujihisi wanyonge au kujihisi kupungukiwa na kitu..jambo hili binafsi linanikera na mnawapa adui zenu nafasi ya kupondea huduma hii.

4.Ukali(kufokewa).. mtumishi amekosa kauli ya kuwarekebisha watenda kazi wake pale wanapokosea amekuwa akiwadhalilisha kwa kuwafokea mbele za watu na mbele ya kamera kama mtumishi unapaswa kuwa mtaratibu kukemea kwa hekima kwa kutambua wengine ni watu wazima wana familia zao...utasikia toa hyu apa wekeni mtu sahihi pale...walinzi,washika maiki, camera man, wanafanya kazi kwa hofu kubwa sanaaa..waondolee hofu wafanyakazi wako!

Ni hayo tu niliyobaini mimi..naomba yeyote mwenye uwezo wa kufikisha haya ayafikishe kwa namna yyte ilee.... lakini pamojaa na hayo nimepokea muujiza kupitia ibada yake mungu ambariki na ajirekebishe ili huduma iwe rafik kwa wengi! Ahsanten na samahani kwa uandishi mbovu.
Ameshawateka akili,acha awafanye vile anavyojisikia.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
He! Kulikoni? Kule geor davie huku mwamposa. Wanakera nini hawa mitume na manabii?! Halafu wote wana tv na redio ongeza na mitandao ya kijamii ila sijaona magazeti yao. Wale hawajali muda wa waumini wao kwa kuwa wako live masaa yote, labda muda wa kula wanaondoka madhabahuni.

Waumini nao itabidi waende kwa timing, vinginevyo watakereka kwa kupoteza muda mwingi wakisuburia hitimisho. Kuhusu kukemea dhambi wale hawana msamiati huo, nenda ulivyo, dhambi zako utajuana na Mungu wako siku ya hukumu
[emoji23][emoji23][emoji23]Wale ni Wajasiriainjili kwaajili ya matumbo yao.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Binadam sijui wakoje akili na matumaini vyote unahamishia kwa binadam mwenzako ambaye nae hana lo lote zaidi ya kukujaza hofu tu

Anyway wacha mnyooshwe akili ziwakae sawa
 
Kama ni mtumishi WA kweli WA Mungu maombi Yao huwa yako effective maana Wamewekwa kama makuhani
Na kwambia hivi, HAKUNA Mtumishi wa Mungu, wala Kuhani dunia hii.

Hata awe Askofu, Padri, Mchungaji, Shehe, Mufti, Papa, kardinali, katekista, Monk au nani,

Hawa wote ni Binadamu kama wewe utofauti wao na wewe ni kwamba hawa ni wafanyakazi wa Taasisi za kidini za kibinadamu.
Na Maombi yao ni sawa sawa na ya kwako.

Wake up, Emancipate yourself from mental slavery Religion.
 
Wacha muendelee kupigwa na vitu vizito na hao watumishi wenu mtaelewa tu huko badae!
 
Sijafundishwa kumhukumu mungu pasipo kujiridhisha, afu kwa mambo ya kimungu sinaga masiara kabisa...waga namuachia mungu nashika kile anachokifundisha ambacho hakifundishi sitomjudge na akifundisha nje biblia soul alarm inagongaa
Kiongozi kama uko Makini na mambo ya Rohoni usingekubali kunasa na kuendelea na kulishwa matango pori, ungechukua maamuzi ya kutafuta kanisa lenye nguvu za kweli na neno lisiloghoshiwa, kukaa hapo huku ukisikiliza Saul alarm ni kumchosha Roho wa Mungu pia utakua kiroho ktk speed stahiki maana kama ktk kila ibada yako mambo soul alarm inagongaa, ni shida kuanza kutafuta ukweli. Nakushauri tafakari na chukua maamuzi... Maana sisi wengine umepita huko na kujikuta wafu wa roho, tumepoteza pesa, kazi na amani... Kila la kheri🙏
 
Mtumishi wa mungu ni vyema kuzingatia jamii na waumini wanataka nini katika maisha yao, yafuatayo ni kero nilizozibaini mimi kama miongon mwa waumini wake.

1. Ibada ndefu/ mpaka usiku inayopelekea usafiri kuwa wa shida, kumbuka waumini wengi wanategemea usafiri wa uma afu wanakaa mbali afu wana watoto na pengine hupelekea kukabwa usiku kwa waenda kwa miguu.

2.Kutokukemea dhambi, mimi ni mhudhuriaje mkubwa wa ibada kwa Mwamposa lakini skumbuk ni lini kakemea dhambi, ingawaje watu wanaenda pale wa kila aina, makahaba, malaya, wezi, mashoga n.k. Lakini mtumishi anadeal sana na kutoa baraka na upako pasipo kuhubiri amani,upendo,na maadili mema ukizingatia kuhusu jinamizi hili la ushoga, mtumishi ongelea ata hili tu kwa ufupi kanisa la mwamposa limekuwa kichaka cha watenda maovu, wanafurahia kutoongelewa. labda anahofia waumini kukimbia kanisa!?

3. Sadaka ni nyingi mmezipa majina mengi afu mnatoa baraka/upako kulingana na kipato cha mtu...yaan wewe mwenye elfu 5 unatofautishiwa baraka na yule mwenye kutoa elfu 50. Jambo hili linawafanya walio na kipato cha chini kujihisi wanyonge au kujihisi kupungukiwa na kitu..jambo hili binafsi linanikera na mnawapa adui zenu nafasi ya kupondea huduma hii.

4.Ukali(kufokewa).. mtumishi amekosa kauli ya kuwarekebisha watenda kazi wake pale wanapokosea amekuwa akiwadhalilisha kwa kuwafokea mbele za watu na mbele ya kamera kama mtumishi unapaswa kuwa mtaratibu kukemea kwa hekima kwa kutambua wengine ni watu wazima wana familia zao...utasikia toa hyu apa wekeni mtu sahihi pale...walinzi,washika maiki, camera man, wanafanya kazi kwa hofu kubwa sanaaa..waondolee hofu wafanyakazi wako!

Ni hayo tu niliyobaini mimi..naomba yeyote mwenye uwezo wa kufikisha haya ayafikishe kwa namna yyte ilee.... lakini pamojaa na hayo nimepokea muujiza kupitia ibada yake mungu ambariki na ajirekebishe ili huduma iwe rafik kwa wengi! Ahsanten na samahani kwa uandishi mbovu.
Hapo #3, hii kitu aliniambia mdogo wangu. Alifunga safari kutoka Mkoani mpaka Dar kupata huduma., muda wa sadaka akaanza kuita wenye...elfu50 waje mbele watoe...sijui 40...akashuka mpaka buku buku. Mdogo wangu amerudi yupo very disappointed. KiVyovyote vile, ni kitu kinachoshangaza mtumishi kuombea watu kulingana na kiwango cha sadaka wanachotoa.
 
Na kwambia hivi, HAKUNA Mtumishi wa Mungu, wala Kuhani dunia hii.

Hata awe Askofu, Padri, Mchungaji, Shehe, Mufti, Papa, kardinali, katekista, Monk au nani,

Hawa wote ni Binadamu kama wewe utofauti wao na wewe ni kwamba hawa ni wafanyakazi wa Taasisi za kidini za kibinadamu.
Na Maombi yao ni sawa sawa na ya kwako.

Wake up, Emancipate yourself from mental slavery Religion.
Love is my religion
 
Hapo #3, hii kitu aliniambia mdogo wangu. Alifunga safari kutoka Mkoani mpaka Dar kupata huduma., muda wa sadaka akaanza kuita wenye...elfu50 waje mbele watoe...sijui 40...akashuka mpaka buku buku. Mdogo wangu amerudi yupo very disappointed. KiVyovyote vile, ni kitu kinachoshangaza mtumishi kuombea watu kulingana na kiwango cha sadaka wanachotoa.
Hapa sidhan kama ni kweli..anaombea wote kwa ujumla kila mmoja anafunguliwa kivyake kulingana na Imani yake..utoaji wa sadaka ni uwezo wa mtu na kuamua kutoa..hajawahi lazimishwa mtu kutoa asichokuwa nacho jomba..sijawah ona na Mimi ni mfuatiliaji sana wa haya Mambo..sadaka ni uwezo wako jomba
 
Back
Top Bottom