Mwamposa, Picha uliyopiga miaka Mitano iliyopita na William Ruto ndiyo unaposti leo hii baada ya Kuona ametangazwa mshindi?

Mwamposa, Picha uliyopiga miaka Mitano iliyopita na William Ruto ndiyo unaposti leo hii baada ya Kuona ametangazwa mshindi?

Cognizant

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2022
Posts
626
Reaction score
1,409
Yaani Picha uliyopiga miaka Mitano iliyopita na Rais Mteule wa Kenya William Ruto ndiyo leo hii baada ya Kuona ametangazwa mshindi ndiyo unaiposti Mitandaoni huku Ukidanganya kuwa ulienda Kumuombea la kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Kenya na kwamba ulimuahidi kuwa angeshinda?

Sasa kama ulikuwa una uhakika na unajiamini kuwa Rais Mteule Ruto angeshinda Urais mbona hukusema mapema ili tukuamini na badala yake umengojea hadi ameshinda ndiyo sasa Unajisifu kuwa ni kwa ajili yako?

Na najua kwa hili utawakamata wengi sana kwa Kukuamini na utakuwa Unajisifia Kutwa kuwa huduma yako ya Arise and Shine ndiyo imemuombea Rais Mteule Ruto na kumpa huyo Ushindi wake ambao ili ukamilike unasubiria Maamuzi ya Supreme Court ya nchini Kenya.
 
20220816_220217.jpg
 
Odinga angeshinda tungeweka picha zake naye humu

Ova
 
Nimeona bus yutong mpyaa zimeandikwa rise and shine na zina picha ya mwamposaa... sijui ndio sadaka zetu zimenunua ama?
 
Yaani Picha uliyopiga miaka Mitano iliyopita na Rais Mteule wa Kenya William Ruto ndiyo leo hii baada ya Kuona ametangazwa mshindi ndiyo unaiposti Mitandaoni huku Ukidanganya kuwa ulienda Kumuombea la kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Kenya na kwamba ulimuahidi kuwa angeshinda?

Sasa kama ulikuwa una uhakika na unajiamini kuwa Rais Mteule Ruto angeshinda Urais mbona hukusema mapema ili tukuamini na badala yake umengojea hadi ameshinda ndiyo sasa Unajisifu kuwa ni kwa ajili yako?

Na najua kwa hili utawakamata wengi sana kwa Kukuamini na utakuwa Unajisifia Kutwa kuwa huduma yako ya Arise and Shine ndiyo imemuombea Rais Mteule Ruto na kumpa huyo Ushindi wake ambao ili ukamilike unasubiria Maamuzi ya Supreme Court ya nchini Kenya.
Mbona unahangaika sana kutema cheche
 
Yaani Picha uliyopiga miaka Mitano iliyopita na Rais Mteule wa Kenya William Ruto ndiyo leo hii baada ya Kuona ametangazwa mshindi ndiyo unaiposti Mitandaoni huku Ukidanganya kuwa ulienda Kumuombea la kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Kenya na kwamba ulimuahidi kuwa angeshinda?

Sasa kama ulikuwa una uhakika na unajiamini kuwa Rais Mteule Ruto angeshinda Urais mbona hukusema mapema ili tukuamini na badala yake umengojea hadi ameshinda ndiyo sasa Unajisifu kuwa ni kwa ajili yako?

Na najua kwa hili utawakamata wengi sana kwa Kukuamini na utakuwa Unajisifia Kutwa kuwa huduma yako ya Arise and Shine ndiyo imemuombea Rais Mteule Ruto na kumpa huyo Ushindi wake ambao ili ukamilike unasubiria Maamuzi ya Supreme Court ya nchini Kenya.
Umekula kweli leo acha makasiriko yasiyo na maana
 
Back
Top Bottom