Mwamposa, Picha uliyopiga miaka Mitano iliyopita na William Ruto ndiyo unaposti leo hii baada ya Kuona ametangazwa mshindi?

Watu mna shida
Yaani mtu ashindwe kupost picha ,kisa ?
Mna nongwa aiseee
 
Kwa picha hio atauza Sana maji na mafuta
 
Haya ndio yale ya tapeli TB. Joshua
Akala pesa za Magufuli, akala na pesa za Lowasa.
Siku Magufuli katangazwa akajifanya kurusha picha alizokuwa amepiga naye
 
Siku hizi kila mtumishi anataka kuonesha ni supernatural flani hivi. Yesu anatumika kama chambo tu lakini ni watu wanajikweza .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…