MWAMPOSA: Unforgettable overnight tutumalizana na HIV, Nuksi, Mikosi, Mabalaa, Siasa na kama kila unachokifanya hakifanikiwi Kawe inakuhusu

Utapeli mwingine
 
Nilivyoona neno chako ni chako tu nikaona hamna kitu hapo. Utahubilije ubinafsi wakati ubinafsi umekatazwa na biblia.
Ila wajinga wataenda kujifunza namna ya kuwa wabinafsi
 
Bila shaka Watu watabubujikwa sana machozi ya furaha kwa kupata majibu ya maswali yao katika maisha yao yaliyoandamwa na changamoto mbalimbali.Nawasihi watu wanende wakakutane na mkono hodari wa Mungu wa Ibrahim ,ISaka na Yakobo.
Vipi nikienda na bendera ya ccm iondoke madarakani. Ndio iliyowafanya Watanzania wawe masikini miaka zaidi 60
 
Ujinga kiwango cha SGR huu 😁
 
Si aende ma hospitalini kuokoa watu wanookufa kwa magonjwa? Hana hata haja ya kuweka matangazo
 
Bila shaka Watu watabubujikwa sana machozi ya furaha kwa kupata majibu ya maswali yao katika maisha yao yaliyoandamwa na changamoto mbalimbali.Nawasihi watu wanende wakakutane na mkono hodari wa Mungu wa Ibrahim ,ISaka na Yakobo.
Fanyeni kazi hakuna Vitu wala kali za bure...mnaibiwa na matapeli wa mjini
 
Si aende ma hospitalini kuokoa watu wanookufa kwa magonjwa? Hana hata haja ya kuweka matangazo
Maskini Dar wamejaa anaze na hao kwanza.

Harafu huyu jamaa mbona Wana Lumumba wanamtetea sana au ni Calculated Systematic Theft?
 
Kuna dada yangu alitupiwa mapepo kwenye makanisa haya yasiyojulikana,,,angalizo nyie mnaopenda kushikwa kichwa na manabii , mnahamishiwa mapepo , nashukuru MUNGU AMEENDA KUPONEA KWA WASABATO......
Yawezekana ila sio Kwa Mwamposa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…