MWAMPOSA: Unforgettable overnight tutumalizana na HIV, Nuksi, Mikosi, Mabalaa, Siasa na kama kila unachokifanya hakifanikiwi Kawe inakuhusu

MWAMPOSA: Unforgettable overnight tutumalizana na HIV, Nuksi, Mikosi, Mabalaa, Siasa na kama kila unachokifanya hakifanikiwi Kawe inakuhusu

View attachment 3029786
Team Jf,

Nitumie jukwaa hili kuwaalika na kuwakaribisha kwenye mkesha mkubwa ambao wewe na jamaa yako hamtausahau kwenye maisha yenu yote kama anavyosema Apostle Boniface Godwin Mwamposa wa huduma ya maombi na maombezi ya Arise & Shine Kawe jijini Dar es salaam Tanzania.

Bila kujali dini yako fanya haya ;-

1. Kama unaumwa ugonjwa wowote ule hata kama madaktari Wamesema huponi au ndugu yako anaumwa njoo na picha yake au njoo uandike jina lake utanishukuru.

2. Kama timu yako ya Mpira au wewe mwenyewe hauna bahati ya Magori kama Kibu Denis wa Simba njooni Ijumaa tukeshe Kawe.

3. Kama wewe ni bondia na unapigwa Kila shindano njoo na gloves zako tukeshe.

4. Kama wewe ni mwanafunzi na unafeli Kila mtihani njoo wewe au mzazi wako tukeshe na matokeo yako.

5. Kama ndoa au uchumba unazingua njoo tukeshe utanishukuru.

6. Kama huelewi elewi tu mambo yanayojupa au kutokea njoo tukeshe,

7. Kama unajenga nyumba haumalizi njoo na udongo wa hilo eneo tukeshe,

8. Kama unafanya Biashara na hupati wateja njoo na udongo wa eneo lako la biashara,

9. Kama unaboda na hupati wateja njoo na kadi ya pikipiki au funguo tukeshe.

9. Kama huna kazi au umefukuzwa kazi njoo na jina la mwajiri na nyaraka kama chetu au yoyote tukeshe.

10. Kama unataka kwenda nje ya nchi njoo na jina la hiyo nchi.

11. Kama unataka kuwa tajiri njoo uandike level ya utajiri unayotaka kama ni milionea, bilionea etc

12. Kama unataka kibali kwenye sanaa njoo tukeshe

13. Kama unataka waliokuloga wafe wote njoo tukeshe.

14. Kama unataka urudishiwe ulivyopoteza njoo na majina ya hivyo vitu.

15. Kama unataka kwenda Mbinguni ukiwa unatabasamu njoo tukeshe na Mtume Boniface Bulldozer Mwamposa.

16. Nakama unajambo lolote ambalo sijalitaja hapa Mungu atalifanya chini ya Mtumishi wake Mwamini Mwamposa.

17. Kama huamini pia njoo ufanye ku-test tu kama ni kweli utanishukuru Mimi kukupa hii taarifa.

Ni mimi na ni mimi tu kuwaleteeni taarifa hii ya Ukombozi wenu na watoto wenu na watoto wa watoto wenu na Mimi basi nitendewe kama alivyonena Mtumishi wa Mungu kuhusu kupeleka habari hii ya Ukombozi -Amen


View attachment 3029782
#Nawewe sambaza taarifa hii kwa watu 12 utaona matokeo hata kabla ya mkesha huu.
Nitakuwepo hiyo ijumaa
 
View attachment 3029786
Team Jf,

Nitumie jukwaa hili kuwaalika na kuwakaribisha kwenye mkesha mkubwa ambao wewe na jamaa yako hamtausahau kwenye maisha yenu yote kama anavyosema Apostle Boniface Godwin Mwamposa wa huduma ya maombi na maombezi ya Arise & Shine Kawe jijini Dar es salaam Tanzania.

Bila kujali dini yako fanya haya ;-

1. Kama unaumwa ugonjwa wowote ule hata kama madaktari Wamesema huponi au ndugu yako anaumwa njoo na picha yake au njoo uandike jina lake utanishukuru.

2. Kama timu yako ya Mpira au wewe mwenyewe hauna bahati ya Magori kama Kibu Denis wa Simba njooni Ijumaa tukeshe Kawe.

3. Kama wewe ni bondia na unapigwa Kila shindano njoo na gloves zako tukeshe.

4. Kama wewe ni mwanafunzi na unafeli Kila mtihani njoo wewe au mzazi wako tukeshe na matokeo yako.

5. Kama ndoa au uchumba unazingua njoo tukeshe utanishukuru.

6. Kama huelewi elewi tu mambo yanayojupa au kutokea njoo tukeshe,

7. Kama unajenga nyumba haumalizi njoo na udongo wa hilo eneo tukeshe,

8. Kama unafanya Biashara na hupati wateja njoo na udongo wa eneo lako la biashara,

9. Kama unaboda na hupati wateja njoo na kadi ya pikipiki au funguo tukeshe.

9. Kama huna kazi au umefukuzwa kazi njoo na jina la mwajiri na nyaraka kama chetu au yoyote tukeshe.

10. Kama unataka kwenda nje ya nchi njoo na jina la hiyo nchi.

11. Kama unataka kuwa tajiri njoo uandike level ya utajiri unayotaka kama ni milionea, bilionea etc

12. Kama unataka kibali kwenye sanaa njoo tukeshe

13. Kama unataka waliokuloga wafe wote njoo tukeshe.

14. Kama unataka urudishiwe ulivyopoteza njoo na majina ya hivyo vitu.

15. Kama unataka kwenda Mbinguni ukiwa unatabasamu njoo tukeshe na Mtume Boniface Bulldozer Mwamposa.

16. Nakama unajambo lolote ambalo sijalitaja hapa Mungu atalifanya chini ya Mtumishi wake Mwamini Mwamposa.

17. Kama huamini pia njoo ufanye ku-test tu kama ni kweli utanishukuru Mimi kukupa hii taarifa.

Ni mimi na ni mimi tu kuwaleteeni taarifa hii ya Ukombozi wenu na watoto wenu na watoto wa watoto wenu na Mimi basi nitendewe kama alivyonena Mtumishi wa Mungu kuhusu kupeleka habari hii ya Ukombozi -Amen


View attachment 3029782
#Nawewe sambaza taarifa hii kwa watu 12 utaona matokeo hata kabla ya mkesha huu.
I will be there
 
View attachment 3029786
Team Jf,

Nitumie jukwaa hili kuwaalika na kuwakaribisha kwenye mkesha mkubwa ambao wewe na jamaa yako hamtausahau kwenye maisha yenu yote kama anavyosema Apostle Boniface Godwin Mwamposa wa huduma ya maombi na maombezi ya Arise & Shine Kawe jijini Dar es salaam Tanzania.

Bila kujali dini yako fanya haya ;-

1. Kama unaumwa ugonjwa wowote ule hata kama madaktari Wamesema huponi au ndugu yako anaumwa njoo na picha yake au njoo uandike jina lake utanishukuru.

2. Kama timu yako ya Mpira au wewe mwenyewe hauna bahati ya Magori kama Kibu Denis wa Simba njooni Ijumaa tukeshe Kawe.

3. Kama wewe ni bondia na unapigwa Kila shindano njoo na gloves zako tukeshe.

4. Kama wewe ni mwanafunzi na unafeli Kila mtihani njoo wewe au mzazi wako tukeshe na matokeo yako.

5. Kama ndoa au uchumba unazingua njoo tukeshe utanishukuru.

6. Kama huelewi elewi tu mambo yanayojupa au kutokea njoo tukeshe,

7. Kama unajenga nyumba haumalizi njoo na udongo wa hilo eneo tukeshe,

8. Kama unafanya Biashara na hupati wateja njoo na udongo wa eneo lako la biashara,

9. Kama unaboda na hupati wateja njoo na kadi ya pikipiki au funguo tukeshe.

9. Kama huna kazi au umefukuzwa kazi njoo na jina la mwajiri na nyaraka kama chetu au yoyote tukeshe.

10. Kama unataka kwenda nje ya nchi njoo na jina la hiyo nchi.

11. Kama unataka kuwa tajiri njoo uandike level ya utajiri unayotaka kama ni milionea, bilionea etc

12. Kama unataka kibali kwenye sanaa njoo tukeshe

13. Kama unataka waliokuloga wafe wote njoo tukeshe.

14. Kama unataka urudishiwe ulivyopoteza njoo na majina ya hivyo vitu.

15. Kama unataka kwenda Mbinguni ukiwa unatabasamu njoo tukeshe na Mtume Boniface Bulldozer Mwamposa.

16. Nakama unajambo lolote ambalo sijalitaja hapa Mungu atalifanya chini ya Mtumishi wake Mwamini Mwamposa.

17. Kama huamini pia njoo ufanye ku-test tu kama ni kweli utanishukuru Mimi kukupa hii taarifa.

Ni mimi na ni mimi tu kuwaleteeni taarifa hii ya Ukombozi wenu na watoto wenu na watoto wa watoto wenu na Mimi basi nitendewe kama alivyonena Mtumishi wa Mungu kuhusu kupeleka habari hii ya Ukombozi -Amen


View attachment 3029782
#Nawewe sambaza taarifa hii kwa watu 12 utaona matokeo hata kabla ya mkesha huu.

Dada yangu amepona HIV sasa anapendeza tu Asante Mungu wa Mwamposa
Wakristo mmerogwa akili,poleni,
 
View attachment 3029552

Team Jf,

Nitumie jukwaa hili kuwaalika kwenye mkesha mkubwa ambao hautausahau na Jamii yako kwenye maisha yenu kama anavyosema Apostle Boniface Godwin Mwamposa wa huduma ya Arise & Shine Kawe Tanzania.

Bila kujali dini yako fanya haya ;-

1. Kama unaumwa ugonjwa wowote ule hata kama madaktari Wamesema huponi au ndugu yako anaumwa njoo na picha yake au njoo uandike jina lake utanishukuru.

2. Kama timu yako ya Mpira au wewe mwenyewe hauna bahati ya Magori kama Kibu Denis wa Simba njooni Ijumaa tukeshe Kawe.

3. Kama wewe ni bondia na unapigwa Kila shindano njoo na gloves zako tukeshe.

4. Kama wewe ni mwanafunzi na unafeli Kila mtihani njoo wewe au mzazi wako tukeshe na matokeo yako.

5. Kama ndoa au uchumba unazingua njoo tukeshe utanishukuru.

6. Kama huelewi elewi tu mambo yanayojupa au kutokea njoo tukeshe,

7. Kama unajenga nyumba haumalizi njoo na udongo wa hilo eneo tukeshe,

8. Kama unafanya Biashara na hupati wateja njoo na udongo wa eneo lako la biashara,

9. Kama unaboda na hupati wateja njoo na kadi ya pikipiki au funguo tukeshe.

9. Kama huna kazi au umefukuzwa kazi njoo na jina la mwajiri na nyaraka kama chetu au yoyote tukeshe.

10. Kama unataka kwenda nje ya nchi njoo na jina la hiyo nchi.

11. Kama unataka kuwa tajiri njoo uandike level ya utajiri unayotaka kama ni milionea, bilionea etc

12. Kama unataka kibali kwenye sanaa njoo tukeshe

13. Kama unataka waliokuloga wafe wote njoo tukeshe.

14. Kama unataka urudishiwe ulivyopoteza njoo na majina ya hivyo vitu.

15. Kama unataka kwenda Mbinguni ukiwa unatabasamu njoo tukeshe na Mtume Boniface Bulldozer Mwamposa.

16. Nakama unajambo lolote ambalo sijalitaja hapa Mungu atalifanya chini ya Mtumishi wake Mwamini Mwamposa.

17. Kama huamini pia njoo ufanye ku-test tu kama ni kweli utanishukuru Mimi kukupa hii taarifa.


Ni mimi na ni mimi tu kuwaleteeni taarifa hii ya Ukombozi wenu na watoto wenu na watoto wa watoto wenu na Mimi basi nitendewe kama alivyonena Mtumishi wa Mungu kuhusu kupeleka habari hii ya Ukombozi -Amen


#Nawewe sambaza taarifa hii kwa watu 12 utaona matokeo hata kabla ya mkesha huu.
Sifikirii kwenda kwa kuwa huyu anawadanganya wajinga kwa ukosefu wao wa maarifa
 
View attachment 3029786
Team Jf,

Nitumie jukwaa hili kuwaalika na kuwakaribisha kwenye mkesha mkubwa ambao wewe na jamaa yako hamtausahau kwenye maisha yenu yote kama anavyosema Apostle Boniface Godwin Mwamposa wa huduma ya maombi na maombezi ya Arise & Shine Kawe jijini Dar es salaam Tanzania.

Bila kujali dini yako fanya haya ;-

1. Kama unaumwa ugonjwa wowote ule hata kama madaktari Wamesema huponi au ndugu yako anaumwa njoo na picha yake au njoo uandike jina lake utanishukuru.

2. Kama timu yako ya Mpira au wewe mwenyewe hauna bahati ya Magori kama Kibu Denis wa Simba njooni Ijumaa tukeshe Kawe.

3. Kama wewe ni bondia na unapigwa Kila shindano njoo na gloves zako tukeshe.

4. Kama wewe ni mwanafunzi na unafeli Kila mtihani njoo wewe au mzazi wako tukeshe na matokeo yako.

5. Kama ndoa au uchumba unazingua njoo tukeshe utanishukuru.

6. Kama huelewi elewi tu mambo yanayojupa au kutokea njoo tukeshe,

7. Kama unajenga nyumba haumalizi njoo na udongo wa hilo eneo tukeshe,

8. Kama unafanya Biashara na hupati wateja njoo na udongo wa eneo lako la biashara,

9. Kama unaboda na hupati wateja njoo na kadi ya pikipiki au funguo tukeshe.

9. Kama huna kazi au umefukuzwa kazi njoo na jina la mwajiri na nyaraka kama chetu au yoyote tukeshe.

10. Kama unataka kwenda nje ya nchi njoo na jina la hiyo nchi.

11. Kama unataka kuwa tajiri njoo uandike level ya utajiri unayotaka kama ni milionea, bilionea etc

12. Kama unataka kibali kwenye sanaa njoo tukeshe

13. Kama unataka waliokuloga wafe wote njoo tukeshe.

14. Kama unataka urudishiwe ulivyopoteza njoo na majina ya hivyo vitu.

15. Kama unataka kwenda Mbinguni ukiwa unatabasamu njoo tukeshe na Mtume Boniface Bulldozer Mwamposa.

16. Nakama unajambo lolote ambalo sijalitaja hapa Mungu atalifanya chini ya Mtumishi wake Mwamini Mwamposa.

17. Kama huamini pia njoo ufanye ku-test tu kama ni kweli utanishukuru Mimi kukupa hii taarifa.

Ni mimi na ni mimi tu kuwaleteeni taarifa hii ya Ukombozi wenu na watoto wenu na watoto wa watoto wenu na Mimi basi nitendewe kama alivyonena Mtumishi wa Mungu kuhusu kupeleka habari hii ya Ukombozi -Amen


View attachment 3029782
#Nawewe sambaza taarifa hii kwa watu 12 utaona matokeo hata kabla ya mkesha huu.
Upumbavu! Ile kauli ya kondoo wangu imetimia kwa Mwamposa kuwageuza watu kuwa kondoo kweli kweli!
 
Yesu alikufa ili Tupate yote hayo .. Thats a Simple Joke 😂😂
 
Bila shaka Watu watabubujikwa sana machozi ya furaha kwa kupata majibu ya maswali yao katika maisha yao yaliyoandamwa na changamoto mbalimbali.Nawasihi watu wanende wakakutane na mkono hodari wa Mungu wa Ibrahim ,ISaka na Yakobo.
Kwahiyo akawaumba watu woooote lakini akchagua watu wa tatu tu, wa kuitiwa jina lake.
 
Bila shaka Watu watabubujikwa sana machozi ya furaha kwa kupata majibu ya maswali yao katika maisha yao yaliyoandamwa na changamoto mbalimbali.Nawasihi watu wanende wakakutane na mkono hodari wa Mungu wa Ibrahim ,ISaka na Yakobo.
Sio mkono hodari wa Mungu wa Nape, Mwigulu na Bashe??
 
View attachment 3029786
Nitumie jukwaa hili kuwaalika na kuwakaribisha kwenye mkesha mkubwa ambao wewe na jamaa yako hamtausahau kwenye maisha yenu yote kama anavyosema Apostle Boniface Godwin Mwamposa wa huduma ya maombi na maombezi ya Arise & Shine Kawe jijini Dar es salaam Tanzania.

Bila kujali dini yako fanya haya ;-

1. Kama unaumwa ugonjwa wowote ule hata kama madaktari Wamesema huponi au ndugu yako anaumwa njoo na picha yake au njoo uandike jina lake utanishukuru.

2. Kama timu yako ya Mpira au wewe mwenyewe hauna bahati ya Magori kama Kibu Denis wa Simba njooni Ijumaa tukeshe Kawe.

3. Kama wewe ni bondia na unapigwa Kila shindano njoo na gloves zako tukeshe.

4. Kama wewe ni mwanafunzi na unafeli Kila mtihani njoo wewe au mzazi wako tukeshe na matokeo yako.

5. Kama ndoa au uchumba unazingua njoo tukeshe utanishukuru.

6. Kama huelewi elewi tu mambo yanayojupa au kutokea njoo tukeshe,

7. Kama unajenga nyumba haumalizi njoo na udongo wa hilo eneo tukeshe,

8. Kama unafanya Biashara na hupati wateja njoo na udongo wa eneo lako la biashara,

9. Kama unaboda na hupati wateja njoo na kadi ya pikipiki au funguo tukeshe.

9. Kama huna kazi au umefukuzwa kazi njoo na jina la mwajiri na nyaraka kama chetu au yoyote tukeshe.

10. Kama unataka kwenda nje ya nchi njoo na jina la hiyo nchi.

11. Kama unataka kuwa tajiri njoo uandike level ya utajiri unayotaka kama ni milionea, bilionea etc

12. Kama unataka kibali kwenye sanaa njoo tukeshe

13. Kama unataka waliokuloga wafe wote njoo tukeshe.

14. Kama unataka urudishiwe ulivyopoteza njoo na majina ya hivyo vitu.

15. Kama unataka kwenda Mbinguni ukiwa unatabasamu njoo tukeshe na Mtume Boniface Bulldozer Mwamposa.

16. Nakama unajambo lolote ambalo sijalitaja hapa Mungu atalifanya chini ya Mtumishi wake Mwamini Mwamposa.

17. Kama huamini pia njoo ufanye ku-test tu kama ni kweli utanishukuru Mimi kukupa hii taarifa.

Ni mimi na ni mimi tu kuwaleteeni taarifa hii ya Ukombozi wenu na watoto wenu na watoto wa watoto wenu na Mimi basi nitendewe kama alivyonena Mtumishi wa Mungu kuhusu kupeleka habari hii ya Ukombozi -Amen


View attachment 3029782
#Nawewe sambaza taarifa hii kwa watu 12 utaona matokeo hata kabla ya mkesha huu.
Nitakuwepo na familia Mungu ututendee kuanzia leo
 
View attachment 3029786
Nitumie jukwaa hili kuwaalika na kuwakaribisha kwenye mkesha mkubwa ambao wewe na jamaa yako hamtausahau kwenye maisha yenu yote kama anavyosema Apostle Boniface Godwin Mwamposa wa huduma ya maombi na maombezi ya Arise & Shine Kawe jijini Dar es salaam Tanzania.

Bila kujali dini yako fanya haya ;-

1. Kama unaumwa ugonjwa wowote ule hata kama madaktari Wamesema hautapona au ndugu yako anaumwa njoo na picha yake au njoo wewe uandike jina lake na ufute hiyo kesi utanishukuru.

2. Kama timu yako ya Mpira au wewe mwenyewe hauna bahati ya kufunga Magori kama Kibu Denis wa Simba njooni Ijumaa tukeshe Kawe.

3. Kama wewe ni bondia na unapigwa Kila shindano kama Dula Mbabe njoo na gloves zako tukeshe utanishukuru.

4. Kama wewe ni mwanafunzi na unafeli Kila mtihani njoo wewe au mzazi wako na matokeo yako tukeshe.

5. Kama ndoa au uchumba unazingua wenzako wote wameolewa wewe bado mchumba njoo tukeshe utanishukuru.

6. Kama huelewi elewi tu mambo yanayokupata au kutokea njoo tukeshe,

7. Kama unajenga nyumba haumalizi njoo na udongo wa hilo eneo tukeshe,

8. Kama unafanya Biashara na hupati wateja njoo na udongo wa eneo lako la biashara,

9. Kama unaboda na hupati wateja njoo na kadi ya pikipiki au funguo tukeshe.

9. Kama huna kazi au umefukuzwa kazi njoo na jina la mwajiri na nyaraka kama chetu au zozote tukeshe.

10. Kama unataka kwenda nje ya nchi njoo na jina la hiyo nchi.

11. Kama unataka kuwa tajiri njoo uandike level ya utajiri unayoitaka kama ni milionea, bilionea etc

12. Kama unataka kibali kwenye sanaa njoo tukeshe

13. Kama unataka waliokuloga wafe wote njoo tukeshe.

14. Kama unataka urudishiwe ulivyopoteza njoo na majina ya hivyo vitu vilivyopotea hata kama ni miaka 20.

15. Kama unataka kwenda Mbinguni ukiwa unatabasamu njoo tukeshe na Mtume Boniface Bulldozer Mwamposa.

16. Nakama unajambo lolote ambalo sijalitaja hapa Mungu atalifanya chini ya Mtumishi wake Mwaminifu Mwamposa.

17. Kama huamini pia njoo ufanye ku-test tu kama ni kweli utanishukuru Mimi kukupa hii taarifa.

Ni mimi na ni mimi tu kuwaleteeni taarifa hii ya Ukombozi wenu na watoto wenu na watoto wa watoto wenu na Mimi basi nitendewe kama alivyonena Mtumishi wa Mungu kuhusu kupeleka habari hii njema ya Ukombozi -Amen


View attachment 3029782
#Nawewe sambaza taarifa hii kwa watu 12 utaona matokeo hata kabla ya mkesha huu.
Nitakuja
 
Back
Top Bottom