Kipa kipind cha kwanza kajiangusha mara mbili, kwa muda mrefu anagala gala kama choko ivi mara nikashangaa eti wakaongeza dk tatu tuMakipa wa Tanzania wanakera na tabia yao ya kujiangusha makusudi ili kupoteza muda.
Hii imepelelea kutokuwepo issue za fair play kwa kuwa wao hawako fair.
Simba ndiyo walikuwa na mpira, na uamuzi wa kuutoa nje ulikuwa wao
... ILA kwa tabia hizi za makipa bora hawakucheza hiyo fair play.
Hakuna choo karibu ?Nimefuatilia mchezo wa leo kati ya Simba na JKT Ruvu kwa kweli LAWAMA zielekezwe kwa mwamuzi aliyechezesha mpira wa leo. Dhahiri amemwona mlinda mlango kaumia na hayupo golini na yeye mwamuzi kushuhudia kuwa ameumia bado anaendelea kuchezesha mpira. Ndugu Mailnzi ukae na jopolako na huyu mwamuzi asimamishwe mara moja na pointi zote tatu za Simba zifutwe. Hatuwezi kuwavumilia Waamuzi wenye uamuzi wa upendeleo.
Ndala hawana pesa ya mishahara wanechanganyikiwaNimefuatilia mchezo wa leo kati ya Simba na JKT Ruvu kwa kweli LAWAMA zielekezwe kwa mwamuzi aliyechezesha mpira wa leo. Dhahiri amemwona mlinda mlango kaumia na hayupo golini na yeye mwamuzi kushuhudia kuwa ameumia bado anaendelea kuchezesha mpira. Ndugu Mailnzi ukae na jopolako na huyu mwamuzi asimamishwe mara moja na pointi zote tatu za Simba zifutwe. Hatuwezi kuwavumilia Waamuzi wenye uamuzi wa upendeleo.
"fair pry"??Kwahiyo Akifungiwa wewe utafaidika na nini? Ile ilitakiwa wachezaji wa simba wafanye fair pry lakini wao waliamua kufunga.
Pole Sana mkuu!!pole aiseeNimefuatilia mchezo wa leo kati ya Simba na JKT Ruvu kwa kweli LAWAMA zielekezwe kwa mwamuzi aliyechezesha mpira wa leo. Dhahiri amemwona mlinda mlango kaumia na hayupo golini na yeye mwamuzi kushuhudia kuwa ameumia bado anaendelea kuchezesha mpira. Ndugu Mailnzi ukae na jopolako na huyu mwamuzi asimamishwe mara moja na pointi zote tatu za Simba zifutwe. Hatuwezi kuwavumilia Waamuzi wenye uamuzi wa upendeleo.