Mwamuzi wa mechi ya Yanga na Geita Gold apelekwa kwenye kamati ya waamuzi ya TTF kwa ajili ya kuchukuliwa hatua

Mwamuzi wa mechi ya Yanga na Geita Gold apelekwa kwenye kamati ya waamuzi ya TTF kwa ajili ya kuchukuliwa hatua

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Screenshot_20220423-170714_Chrome.jpg


Hizi kanuni zibadilishwe maana hazitendi haki. Mwamuzi anachukuliwa hatua lakini matokeo yanabaki yaleyale.

Kuleta haki ni bora kanuni zibatilishe matokeo kutenda haki kwa upande ulioumizwa
 
View attachment 2197751

Hizi kanuni zibadilishwe maana hazitendi haki. Mwamuzi anachukuliwa hatua lakini matokeo yanabaki yaleyale.

Kuleta haki ni bora kanuni zibatilishe matokeo kutenda haki kwa upande ulioumizwa
Kwenye hiyo barua naomba unizungushie duara sehemu ambao imeanisha kosa la mwamuzi ni lipi. Maana imeandika in general kuwa mwamuzi ameshindwa kutafsiri sheria lakini hawakusema sheria namba ngapi iliyoshindwa kutafsiriwa. Na ukiangalia ile mechi ilikuwa na matukio matatu ambalo ni moja kwa yanga na mawili kwa Geita. Kwa Yanga ni kupewa penati. Kwa Geita ni goli lililofungwa mchezaji alikuwa kwenye offside position. Na pia kabla ya kupatikana kwa goli kuna mchezaji wa Yanga alichezewa faulo na kupokwa mpira. Sasa mtu mzima kama wewe unaheshimika na watu humu hupaswi kuongozwa na hisia. Hakuna sehemu ilipoanishwa sheria ipi iliyoshindwa kutafsiriwa
 
Mzee mechi ikishaisha matokeo huwa hayabadiliki.

Hata kama goli ni la mkono.
 
Kwenye hiyo barua naomba unizungushie duara sehemu ambao imeanisha kosa la mwamuzi ni lipi. Maana imeandika in general kuwa mwamuzi ameshindwa kutafsiri sheria lakini hawakusema sheria namba ngapi iliyoshindwa kutafsiriwa. Na ukiangalia ile mechi ilikuwa na matukio matatu ambalo ni moja kwa yanga na mawili kwa Geita. Kwa Yanga ni kupewa penati. Kwa Geita ni goli lililofungwa mchezaji alikuwa kwenye offside position. Na pia kabla ya kupatikana kwa goli kuna mchezaji wa Yanga alichezewa faulo na kupokwa mpira. Sasa mtu mzima kama wewe unaheshimika na watu humu hupaswi kuongozwa na hisia. Hakuna sehemu ilipoanishwa sheria ipi iliyoshindwa kutafsiriwa
Unampigia tu mbuzi gitaa. Hawezi kukuelewa. Zaidi ataishia tu kukutukana.
 
Back
Top Bottom