kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,893
Huyu bado anahangaika na mabwana wa kizungu tu hadi nchi za watu??..ukute alikua na bwana mzungu kwenye gari ndo wakakutana na wenye nchi na hasira zao.. lazima waku shoot tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Doko...
KWa nini kanusurika jaman? Wangempiga tu, na hao hawana shabaha nfyuuuu
na bado....
Africans are more racists than any other race
Mkuu King Kong III hebu fafanua kidogo huo uhuni aliomfanyia
Mme wake mwamvita mzungu alikuwa ABG mgodini mwaka 2010 alitoa bil 3 na ushee kwa ajili ya kumuwezesha february kikampeni kupitia mwammy,baadhi ya fedha mwmmy akanunua jumba mikocheni la 1.5b na nyingine akampatia february,mzungu walimuahidi mambo kedekede ikiwemo la kumpeleka ikulu akaonane na raisi(dili za february kabla hajawa mb) na pia wakamdanganya kwamba february atateuliwa waziri wa madini kwahyo miradi na ufisadi mwingi huyo mzungu atapewa kwenye sector ya madini,at the end mwammy akaona kuna deni la ahadi lukuki la kulilipa kwa mzungu,so wakaanzisha figisu figisu mzungu wa watu akafukuzwa tz wao wakajitahifisha mali zake.
Mme wake mwamvita mzungu alikuwa ABG mgodini mwaka 2010 alitoa bil 3 na ushee kwa ajili ya kumuwezesha february kikampeni kupitia mwammy,baadhi ya fedha mwmmy akanunua jumba mikocheni la 1.5b na nyingine akampatia february,mzungu walimuahidi mambo kedekede ikiwemo la kumpeleka ikulu akaonane na raisi(dili za february kabla hajawa mb) na pia wakamdanganya kwamba february atateuliwa waziri wa madini kwahyo miradi na ufisadi mwingi huyo mzungu atapewa kwenye sector ya madini,at the end mwammy akaona kuna deni la ahadi lukuki la kulilipa kwa mzungu,so wakaanzisha figisu figisu mzungu wa watu akafukuzwa tz wao wakajitahifisha mali zake.