Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duh Twisa tena? tatizo nasikia MD anakula pale so mapenzi ya kazini mwishowe ndo huo md anakosa say demu anafanya analotaka. lkn kila kitu kina mwisho MD kimkataba kikiisha si atakuja mwingine, unamkumbuka yule mbabe aliyepelekwa Mozambique kwa kutomnyenyekea rostam? jamaa alikuja akafuta tuvyeo vyeo tote twa kutunga halafu akamwambia rosta we are doing business and not mere cheap politics fisadi mbio kwa jk eti simtaki huyu jamaa huwezi amini yule MD alipewa 24hrs aondoke bongo so what goes around always comes around!Huyo dada nasikia ana nguvu kuliko MD wa Vodacom atakalo yeye litafanyika hata kama la upuuzi!!ana weka washikajizake hata kama vilaza!!soon nasikia atampeleka Twisa awe nafasi ya Mafuru
Ni kibabu ila si abuser. Kosa lake kafulia baada ya kuacha kazi SGS. Mwamvita kapata tajiri zaidi. Kibabu cha watu kimechanganyikiwa.ni ki ababu halfu ni abuser, kwahiyo mume amemshinda na ameshamkimbia
kaachia na yule mzungu baada ya kufumaniwa akuwa ana uhusian na boss wake haafu ni small house ya rostama aziz,si unaona nowdays ni tanzanites kwa kwenda mbele nakwambia umjini utawaachisha wengi kwenye ndoa zao.
Angekuwa hajasoma binafsi naaminiwasingempa hiyo nafasi, ni lazima kasoma shule na anacheti kizuri tu pia yuko bright, amasivyo tupe CV yake tuthibitishe maneno yakohuyu mwamvita ndiye amesababisha mafuru kuacha kazi vodacom kutokana na yeye kupewa upendeleo maalum kwa vile ni mtoto wa yule mzee makamba na uswahiba wake na mmoja wa mapacha 3 yaani rostam...
kazi yenyewe hajasomea hakuna anachofanya, kikubwa ni kuuza sura ambayo kiukweli hana sura nzuri....
pole sana mafuru ila na wewe ulipokuwa vodacom ulijisahau bwana...mkiwa kwenye nafasi hizi msijisahau sana manake mkitimuliwa mnakuja umbuka sana...ona chacha wapi mafuru??
anatembea na utajiri kwenye ch***yaani ana oversee department 3 lkn ndo hivyo usishindane na mtoto wa kike! hasa kazini
Hapa inaonyesha dhahiri kwamba anapakaziwa kwa kuwa tu ni binti. Kwani wanawake hawana akili mpaka walale na mabosi wao ndiyo wapewe upendeleo? Mbona madarasani huwa tunawapita wanaume, iweje leo mwanamke akipata cheo itakuwa ana msururu wa mabwana?
Jee Mwamvita hakusoma hata mukaleta maneno ya kejeli hapa?
Male chauvinist p...!
sasa naanza kuamini ule msemo..'a successful woman is either single,divorced or widow'
Hapa inaonyesha dhahiri kwamba anapakaziwa kwa kuwa tu ni binti. Kwani wanawake hawana akili mpaka walale na mabosi wao ndiyo wapewe upendeleo? Mbona madarasani huwa tunawapita wanaume, iweje leo mwanamke akipata cheo itakuwa ana msururu wa mabwana?
Jee Mwamvita hakusoma hata mukaleta maneno ya kejeli hapa?
Male chauvinist p...!
Acheni kuonglea watu jamvini. Tabia mbaya hii. Pelekeni ujinga huu kwenye globs. Angekuwa kwenye politics may be ingekuwa valid kumwongelea lakini personal stuff, Naaaah..Stop discussing gossips! Remember JF is the home of great thinkers, unless JF has become the home of great yappers!
doesn't apply to Asha Rose Migirosasa naanza kuamini ule msemo..'a successful woman is either single,divorced or widow'