Tetesi: Mwana CCM adai mwezi Julai 2020, viongozi wa upinzani hasa Mbowe, Lissu, Zitto, Maalim Seif nk kuhukumiwa vifungo jela na CCM kupita bila kupingwa

Umelamba matapishi na makalio ya wana CCM kwa muda mrefu,kwanini hawakupi uteuzi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye hiyo orodha ya maadui wa nchi yetu,sijui ni kwa kigezo gani umemsahau Magufuli
 
Aisee pascal!!!! Tafadhali sana!! Nenda taratibu na njaa zako,usije kushangaa watu watakaposhangilia mauti yako,tunakuheshimu sana!! Na tunaamini wewe si kama wao,ila unawasujudia tu ili upate mkate wako,ila utakapo undermine uhai wa binadamu mwenzako kwa ajili ya hicho kipande cha mkate tutamuomba Mwenyezi Mungu muweza wa yote akushughulikie,na atakushughulikia mbele ua macho yetu!! Amina.
Kwani Tundu Lissu alipigwa risasi na serikali?.
Lissu alishambuliwa na watu wasiojulikana.
P

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikushangai kumfagilia sana lakini. Mko tayari uchaguzi usimamiwe ni mataifa 6lya nje ili tujue kukubalka kwake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona hukumu ya kesi zao haitolewi hii uleta shaka hisia lisemwalo lipo thus kina mashinji na wengine wamewahi kupigwa chapa na kuusujudia msalaba ili wapone
 
Uliona wapi simba au yanga ikafa kwa kuondokewa na wachezaji,timu ni mashabiki sio wachezaji hao usajiliwa kila msimu.Upinzani ni wanachama sio viongozi, uliona wapi mmea ukafa kwa kuondokewa na magugu
 
Narudia tena, kama kweli kutakuwa na tume huru, Magufuli hawez kushinda dhidi ya yoyote atakae simama upinzani, mnatumia nguvu kubwa ya kuonekana anakubalika wakati si kweli, muwe mnatembea mikoani
 
Lakini hadi october bado mbali sana huwezi jua hapa katikati mungu akatenda miujiza yake
 
Hizi ni hisia tu hakuna serikali wala chama itakayokubali kuiweka nchi rehani kwa kiasi hicho hasa kipindi hiki ambacho wababe wa dunia USA wameanza kuonyesha dalili za kutublack list, na kutuweka kundi moja na Eritrea na Sudani, kipindi ambacho USA inatoa matamko mazito juu ya mwenendo wa siasa za Tanzania, hilo halitawezekana, Tanzania ni zaidi ya utashi wa ntu mmoja mmoja, wenye serikali na wenye chama tawala hawatakubali kufanya ujinga huo hata kidogo maana wanajua impact yake.
 

Serikali ya CCM, inayoongozwa na Rais Dr Magufuli, kwa mikakati yake ya kiuchumi (rejea Ilani ya Uchaguzi ya CCM, 2015) imeifanya Tz kuwa moja yqla nchi zinazoendelea kuwa tajiri. Hivyo hoja ya (1) haina mashiko.

Viongozi wa upinzani, badala ya kuwa na Sera mbadala za kuendeleza nchi hii kiuchumi, wamebaki kuwa viongozi wa matukio. Kwa hali hiyo, hoja yako (2) ni kichekesho tu.

Kwamba Magufuli ana hofu ya kupunguziwa idadi ya kura (hoja na 3) ni ndoto za alinacha na huenda msingi wake ni bandiko zinatolewa kwenye mitandao ya kijamii. Mageuzi ya kiuchumi aliyoyasimamia ni ushaidi na nguvu tosha za kumpa kura maradufu.

Wapinzani wanahaha na madai ya Tume Huru ya Uchaguzi wakijua fika iliyopo ni huru na ndiyo iliyowapa nafasi nyingi za Ubunge, Udiwani na Uenyeviti wa Serikali za Mitaa n Vijiji, 2015. Lakini kwa kuwa wanatambua nguvu yao kisiasa imeporoka, wanatafuta mlango wa kutokea watakapoweka mpira wa uchaguzi kwapani. Hivyo hoja yako (4) ni ya kitoto.

Kwamba Maalim Seif anawekewa mizengewe (hoja na 5) asiwe mgombea Zanzibar, ni hoja ya kizushi. Ukweli kwamba alikimbia CUF, chama ambacho ni mmoja wa waanzilishi, na kujiunga na ACT Mzalendo, chama cha mtu mmoja ni dalili kwamba ameishiwa nguvu kisiasa.

Viongozi wa upinzani wenye kesi mahakamani, ni watu wazima, wazoefu wa siasa ambao waliamua, kwa makusudi, kuvunja sheria, wakidhani wangepata huruma ya wananchi. Tuache mahakama itimize wajibu wake wa Kikativa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ufalme wa Mungu uko mbali nao sana wewe Mkaka!
 
Mkuu 'Return', umeifanya mada yako hii nzito ionekane nyepesi kwa vibwagizo ulivyoviweka hapa vingine vinavyoonekana kama 'utani', lakini kiuhalisia ni mbinu nzito hata kama zinaonekana kuwa za kishamba shamba vile.

Huu ni mwendelezo wa mambo ya ajabu sana ambayo watu wengi hawakutegemea kwamba yanaweza yakabuniwa na kutekelezwa mbele za watu wenye akili timamu na heshima zao.

Ukweli wenyewe, mambo haya ya ajabu yanafanyika, kama yale ya ajabu yaliyotumika kunasa mawasiliano ya watu waliotazamwa na jamii kuwa ni watu wenye heshima.

Nikubaliane nawe tu kwamba uwezekano wa kuwaweka hatiani viongozi hawa wakati mwafaka ni mkubwa kuliko tudhaniavyo.

Je, umma wa waTanzania nao utayaona mambo kama hayo kuwa ni ya kawaida tu, na wala wasistuke kabisa?
 
That's it!

Mimi ninalo pendekezo kwa CHADEMA na wapinzani wenzao.

Kama patakuwepo na kampeni kabla ya Uchaguzi Mkuu mwaka huu; yaani kama hapatatokea kususia au kuzuia uchaguzi huo kwa sababu ya kutokuwepo kwa Tume Huru -

Wazo na pendekezo langu ni hili:

Mkuu 'Paskali' wa JF anaweza akawa ni 'asset' mhimu sana kwao wakiweza kumshirikisha katika kampeni zao sehemu mbalimbali nchini.

Yeye anaweza tu kuwa kama 'agent provocateur' kama anavyofanya hapa JF mbele ya mkusanyiko wa kampeni hizo. Akishamaliza kazi yake, anawaachia makada wa CHADEMA na wenzao kumaliza kazi.

Chukulia mfano wa kwenye mada hii, halafu uniambie kuwa hawezi akafanikisha kampeni za wapinzani.

Fursa ni fursa tu, ikijitokeza itumie ipasavyo, mradi ujue jinsi ya kuitumia ilete tija.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…