Mwana Daresalaam, Fanya hivi unapokabwa na panyarodi.

Mwana Daresalaam, Fanya hivi unapokabwa na panyarodi.

Nlikutana nao uso kwa uso kwenye chocho moja nlikua na simu na wallet nikavirusha juu ya bati la nyumba moja wapo ya lile chocho kesho yake nllienda kwenye ile nyumba nikawaelezea wakanipa ngazi nikachukua vitu vyangu
 
Nilikuwa bar Moja sinza ennzi hizo wakanza kuja barabaran tulikimbilia choo cha wanawake tukajifungia waume kwa wanawake tukisali KILA mtu aliacha beer na nyama baada ya palee n vijambo mwanzo mwisho KILA meza
 
Kuna mwanangu sherehe za Mwenge mwaka juzi alikuwa vinu sana.Akakutana na machokoraa walimuuliza maswali mawili tu.1.Unataka bokoboko? au 2.Pilau?.
Akajibu nataka pilau tena lenye viungo vingii.Madogo walimkata kata.
 
Kuna mwanangu sherehe za Mwenge mwaka juzi alikuwa vinu sana.Akakutana na machokoraa walimuuliza maswali mawili tu.1.Unataka bokoboko? au 2.Pilau?.
Akajibu nataka pilau tena lenye viungo vingii.Madogo walimkata kata.
Hahahahaaaaaaaahaaa achaa mpwaaa kha alikua ajaelewaa maanayake
 
Wale hawana nguvu kutokana na Lishe duni.ila wanatembea na silaha za Jadi, viwembe, nondo zenye ncha kali, visu, mapanga na mikuki.

Na wanakuwa wengi.
Hakuna Mkabaji anakuja kwa mikono mitupu.

Wakati huo wewe umebeba simu tu na Furushi lako la Viazi na tangawizi umerudi nyumbani umechoka.
Kuna mwanangu sherehe za Mwenge mwaka juzi alikuwa vinu sana.Akakutana na machokoraa walimuuliza maswali mawili tu.1.Unataka bokoboko? au 2.Pilau?.
Akajibu nataka pilau tena lenye viungo vingii.Madogo walimkata kata.
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Hahahahaaaaaaaahaaa achaa mpwaaa kha alikua ajaelewaa maanayake
Alikuwa vitu akajua madogo wanagawa pilau la bure.Kumbe pilau ni panga nyingi.Bokoboko ni bapa nyingi sana.Mi usiku sinaga mjadala hata nikihisi tu kuna mtu ni mkuku tu .
 
Hasaaa n kuomba TU..KUNA mwamba anaitwaa minyembe alisumbua sana mbezi beach na WANae WA kawe usiombr ukutane nao balaa utataman radi ianguke...

SIKU anauliwa polici wanapigiwa njoon chukuen maiti hawaamini n uyoo KWELI..TOKA sikuhio unarudi usiku safii kabisaaaaa

walikuwa na mtandao mrefu MPAKA wanawake asbh mnaamka unampita mwanamke kasimama njian unampochi anapigiwa dogo anasubiria kwa.mbele anapigs KAZI ...yanaendelea walitesa wengi sana

 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Kuna jamaa yangu mwingine yeye alikuwa anajifanya dume la nyani ,boda inamshusha nyumba kumi kabla ya kwake .Alikuwa anadai ukiwa mwanaume hutakiwi kujulikana julikana unakaa wapi.Alipigwa ngumi mpaka akayataja majina yote matatu ya mama yake .Mama yangu mzazi Mwanaidi Abdalah Nkonoki ulinikataza nisinywe pombe mimi na kuchelewa nyumbani.
 
Mm silaha yangu ya kwanza ni amani na watu wote mtaa naoishi japo ni ngumu kua peace na wadau wote

Silaha ya pili ni mguu, mm speed nayotoka hamna wa kunikuta ukinipa sentimita Moja hata muwe 100 hamna atakanikaribia Kwa Mita 500 ntawaaacha vbya sana

Tatu, Nina nn mkononi kisu rungu au chochote hata kama Kuna jiwe la karibu lazima nilitendee haki

Itaendelea....
 
Back
Top Bottom