Alfu Lela U lela
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 204
- 341
inahitaji mafunzo, ukifanya mchezo kwa roba zengine, unawezavunja shingo yako hapo, yakawa mengine.
uko sahihi 100%inahitaji mafunzo, ukifanya mchezo kwa roba zengine, unawezavunja shingo yako hapo, yakawa mengine.
Hahahahaaaaaaaahaaa achaa mpwaaa kha alikua ajaelewaa maanayakeKuna mwanangu sherehe za Mwenge mwaka juzi alikuwa vinu sana.Akakutana na machokoraa walimuuliza maswali mawili tu.1.Unataka bokoboko? au 2.Pilau?.
Akajibu nataka pilau tena lenye viungo vingii.Madogo walimkata kata.
Kuna mwanangu sherehe za Mwenge mwaka juzi alikuwa vinu sana.Akakutana na machokoraa walimuuliza maswali mawili tu.1.Unataka bokoboko? au 2.Pilau?.
Akajibu nataka pilau tena lenye viungo vingii.Madogo walimkata kata.
Alikuwa vitu akajua madogo wanagawa pilau la bure.Kumbe pilau ni panga nyingi.Bokoboko ni bapa nyingi sana.Mi usiku sinaga mjadala hata nikihisi tu kuna mtu ni mkuku tu .Hahahahaaaaaaaahaaa achaa mpwaaa kha alikua ajaelewaa maanayake