Hichi kizazi nacho kimezidi kuwakana baba zao...Mzee reflect where did you go wrong in your son’s life.
Huyu jamaa alikulia bush Muheza huko si ajabu dingi alikua hana timeHichi kizazi nacho kimezidi kuwakana baba zao...
Super hero daddy
inasemekana FA alitelekezwa akalelewa na bibi kwa mjibu wa interview aliyowahi kufanya FA.Mzee reflect where did you go wrong in your son’s life.
kama una watoto kua makini sana na malezi yako hizi mambo za kujifanya mkubwa hakosei zimepitwa na wakati kabisa.Si walikua wanafanya kazi pamoja mtu na mwanae
Super hero daddy
Wazee wa kufyatuaa. Halafu mtoto atajijua mwenyewe.Mwanamuziki mkongwe Mohamed Mwinjuma (MAZINGAZINGA) baba yake mzazi na Khamis Mwinjuma (MWANAFA) baada ya kukataliwa na mwanae na kukosa msaada kabisa ameamua kujikita zaidi kwenye muziki na kutaka kuifufua bendi ya Moro Jazz ambayo anasema ndio ndoto yake kubwa.
Pia amebainisha wala hataki tena kuomba msaada kutoka kwa mwanae huyo maana amemdhalilisha vya kutosha hivyo ameamua kupambana na hali yake.
Mpe neno mzee huyo
Mwanamuziki mkongwe Mohamed Mwinjuma (MAZINGAZINGA) baba yake mzazi na Khamis Mwinjuma (MWANAFA) baada ya kukataliwa na mwanae na kukosa msaada kabisa ameamua kujikita zaidi kwenye muziki na kutaka kuifufua bendi ya Moro Jazz ambayo anasema ndio ndoto yake kubwa.
Pia amebainisha wala hataki tena kuomba msaada kutoka kwa mwanae huyo maana amemdhalilisha vya kutosha hivyo ameamua kupambana na hali yake.
Mpe neno mzee huyo
Ndiyo matokeo ya kulelewa na mzazi mmoja huku baba ukikata mitaa na wanawake wengineHichi kizazi nacho kimezidi kuwakana baba zao...
Super hero daddy