Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,435
- 4,662
Nazjaz, Unamkana vipi mtu aliyesababisha wewe upo!!?
Unaweza shangaa mwanamziki mahili na mkongwe lakini bado unambwela,,,,, unakamata wachawi,,,,,
Umesahau kuwa ule unaouita ni uovu wa baba yako wewe pia umeuvaa wote kama ulivyo na hivyo kujitwisha milaana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza shangaa mwanamziki mahili na mkongwe lakini bado unambwela,,,,, unakamata wachawi,,,,,
Umesahau kuwa ule unaouita ni uovu wa baba yako wewe pia umeuvaa wote kama ulivyo na hivyo kujitwisha milaana.
Sent using Jamii Forums mobile app