Yes I'm
Sasa wewe Nokia83 unafikiri hekima na ukubwa wa moyo ulionao kila mmoja atakuwa nao? hamna hicho kitu kuna watu dakika mbili mbele wanasahau bila ile manii hakuna mtoto hapo kakosea, dawa yake amsamehe na mhudumie vizuri ili kila siku aone aibu na afanye ibada ya toba kwa Mungu wake maana jua lenyewe ndo linazama tena ishakuwa jioni sana, mwisho wa ubaya aibu!!Ila tukumbuke mzazi ni mzazi tu...mimi kwangu haijalishi nn kilitokea huko nyuma lkn wazazi wangu niliwapa upendo sawa. Ingawa kuna miaka dingi alikuwa na mchepuko akamzingua sana maza lkn mwisho wa siku walielewana na maisha yakaendelea mpk alipofariki na muda wote wa matatizo sikuwahi kuchagua upande
Madame, sijakuona siku nyingi....kumbe upogo bado.Du why
NipooooMadame, sijakuona siku nyingi....kumbe upogo bado.
Bilionea wa nini?Mwana FA ni Bilionea kwa Sasa.
Huu ujinga kwaandikie wajinga wa fb huko sio humuMwanamuziki mkongwe Mohamed Mwinjuma (MAZINGAZINGA) baba yake mzazi na Khamis Mwinjuma (MWANAFA) baada ya kukataliwa na mwanae na kukosa msaada kabisa ameamua kujikita zaidi kwenye muziki na kutaka kuifufua bendi ya Moro Jazz ambayo anasema ndio ndoto yake kubwa.
Pia amebainisha wala hataki tena kuomba msaada kutoka kwa mwanae huyo maana amemdhalilisha vya kutosha hivyo ameamua kupambana na hali yake.
Mpe neno mzee huyo
Bilionea wa fedha za tigo,,,,Walilipwa zaidi ya Bilioni 2.2 na tigo.Bilionea wa nini?