Unaweza kukataa mimba kwasababu huna uthibitisho lakini mtoto je? Akikua na akafanikiwa usimsumbue endelea kumkataa. Wazazi wengi tunajisahau na starehe hao viumbe Mungu Huwa anawabariki Sana. Wakati nguvu zimeisha na uwezo huna ndo unaanza kujipendekeza