Mwana Fa amshukia Ngosha Fidq adai ni mlain kama kitumbua

Mwana Fa amshukia Ngosha Fidq adai ni mlain kama kitumbua

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana


Husika na kichwa cha habar hapo juu

Kama wewe ni mwana hiphop kuna madai hapa ambayo nimeamua niyalete hapa kwenu wapendwa, madai hayo yameibuliwa na mwana fa
mwana-fa-na-fid-q.jpeg


Mwana anadai kuwa yule mkali kutoka pande za mwanza mwanza ngosha kubanda fidq ni mlain kama kitumbua kwa sasa yaan kabadilika sana sio tena yule ngosha wa zaman

Mwana fa kadai kuwa kwa sasa ngosha kawa mlain kabadilika sana kiuimbaji hana ugumu wowote wala hana mistar migumu tena

Je haya madai ni ya kweli wadau?

Ulimi mbili na fresh zimekaa kilain? Au mwana fa anatafuta kiki ya wimbo wake mpya


LONDON BABY
 
Aisee kupakatwa kwahiyo wanaume huwa wanajimegea tu pale au sijakuelewa
That's a figure of speech. Si kwamba anapakatwa kweli.

Kwamba Mwanafa kwa watoto wa kihuni tunayoijua Upanga tangu zamani ni mchumba tu anatumwa kwa hiyo si mtu wa kuongelea nani mgumu na nani si mgumu.

Hana credentials.

Vichwa Ngumu wakiniambia nani mgumu nitakubali. Washaishi kijelajela bonde la mto Msimbazi.

MwanaFA mtoto wa vidudu anajuaje nani mgumu?
 
Back
Top Bottom