Mwana Fa amshukia Ngosha Fidq adai ni mlain kama kitumbua

Mwana Fa amshukia Ngosha Fidq adai ni mlain kama kitumbua

Acha u-MAKU weka source
mkuu mbona umetumia lugha kali sana? hahaha taratibu bosi nafikiri haelewi umaana wa kuwa na chanzo cha habari. Hata nami nilikuwa nategemea mwishoni nione chanzo chochote hata cha instag
 
Ngosha awe mgumu na CHINDO MAN ajiite nani?
Mkuu hata chindo mwenyewe siku hizi anavaa modo na kupaka dawa nywele amebaki na sauti tu ya kukaza kwenye ngoma zake mgumu wa kweli ni JCB na Bonta!
 
Mkuu hata chindo mwenyewe siku hizi anavaa modo na kupaka dawa nywele amebaki na sauti tu ya kukaza kwenye ngoma zake mgumu wa kweli ni JCB na Bonta!
muongeze na mansul
 
Back
Top Bottom