Mwana FA asema wimbo "Muziki" wa Darassa umerudisha heshima Kwa wasanii wa hip hop

Ameitendea haki beat na ameonyesha uwezo mno Darasa.....atoe remix na Diamond sasa.
 
Nilichopenda huu wimbo zaidi ni kutupunguzia makelele ya team madale
 
Nilichopenda huu wimbo zaidi ni kutupunguzia makelele ya team madale

Kabisa mkuu,ilishakuwa 'too much'.
Hatujawahi kuwa na kelele.. Labda watoto wa kariakoo ndio wana kelele sana kutupinga..

Alafu yani madale watu wana amani kabisa hawana hata pressure eti sijui darasa [emoji23] [emoji23]

Ukienda unaweza hata shangaa kama wanaujue huo wimbo.. [emoji3] [emoji3]
 

Thubutuuuu!Wakati wewe mwenyewe tu muwakilishi wa madale JF hii niliujua huo wimbo kupitia kwako?
Muone vile...

Muziki hata usipousikiliza wewe huwezi maliza siku ktk mizunguko yako ukaacha kuusikia [emoji108]
 
Thubutuuuu!Wakati wewe mwenyewe tu muwakilishi wa madale JF hii niliujua huo wimbo kupitia kwako?
Muone vile...

Muziki hata usipousikiliza wewe huwezi maliza siku ktk mizunguko yako ukaacha kuusikia [emoji108]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Usiongee sana basi! Wacha maneno weka muziki..

(Ila kuna kitu kuotoka madale kinakuja ni soooo)
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Usiongee sana basi! Wacha maneno weka muziki..

(Ila kuna kitu kuotoka madale kinakuja ni soooo)
Umeona sasa?
[emoji444] maisha na muziki...
Wacha maneno weka muziki [emoji444] [emoji108]

Wapi nyie tumeshazoea big G zenu.
Sitaki kufikiria ile collabo na p2 ilikofia
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Umeona sasa?
[emoji444] maisha na muziki...
Wacha maneno weka muziki [emoji444] [emoji108]

Wapi nyie tumeshazoea big G zenu.
Sitaki kufikiria ile collabo na p2 ilikofia
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kidogo ft. p2 kila siku inapigwa MTV Base.. Haiwezi kufa kirahisi hivyo
Hata club ikipigwa watu wanaruka..
 
halafu turudi wapi ndo tujue vzur?
daerasa kauuuuua
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]

Usiongee sana basi! Wacha maneno weka muziki..

(Ila kuna kitu kuotoka madale kinakuja ni soooo)
Hizi ndio kelele zenyewe kutoka madale.
Acheni kelele jamani.
sasa hivi tunasikiliza muziki tu.

Mbafu ya mbwa

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 

Whatever happened...

The issue is,Darasa is freaking HOT now,FA is cold,case closed!

Deal with it people,FA is cold now,and thats it..

Nani legend,well,when said and done we will see.

Tuache majungu,Darasa anafanya vizuri,tukubali!
 
Whatever happened...

The issue is,Darasa is freaking HOT now,FA is cold,case closed!

Deal with it people,FA is cold now,and thats it..

Nani legend,well,when said and done we will see.

Tuache majungu,Darasa anafanya vizuri,tukubali!
Hiyo ilikuwa ni kwa wale Wote wanaomponda FA eti kisa Darassa anafanya vizuri. Huwezi kuignore mafanikio ya FA ya miaka yote kwa mafanikio ya singo moja tu ya Darassa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…