Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 4,043
- 8,686
Leo 27-04-2020 Mwana FA Atakua Clouds FM Kwenye kipindi Cha XXL Kuanzia 13:00 - 16:00
Zimetimia jumla ya siku 39 tangu ‘Shabaan Robert wa Kizazi Hiki’ MwanaFA ajitangaze kuwa mmoja wa waathirika wa kwanza wa COVID19TZA.
Leo tutapata fursa ya kuwa nae katika KubwaKuliko [XXL] ya kwanza katika msimu mpya, tumuazime masikio wakti utakapofika..
Mwana FA anaenda kuzima Kik ya magari na mahotel
Zimetimia jumla ya siku 39 tangu ‘Shabaan Robert wa Kizazi Hiki’ MwanaFA ajitangaze kuwa mmoja wa waathirika wa kwanza wa COVID19TZA.
Leo tutapata fursa ya kuwa nae katika KubwaKuliko [XXL] ya kwanza katika msimu mpya, tumuazime masikio wakti utakapofika..
Mwana FA anaenda kuzima Kik ya magari na mahotel