Ni zaidi ya mwaka sasa nipo kwenye utafiti wa gharama na soko la body spray za wadada ambazo kwa wazo langu zitakua unique na very adore,wakati naenda kutafuta kampuni ambayo wataweza kunifanyia hii kazi mara paap naskia FA kalaunch spray zake moyo ukafanya paap....kweli ukisubiri liive wenzako hata kwa chumvi na pilipili wanakula....japo idea hii sio mpya but naweza kusema mawazo yanagongana au kwa watu niliowashirikisha wanaweza kuwa wamempa wazo langu na yeye kwa connection,exposure,pesa alizonazo kachangamkia fursa
View attachment 972008