Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,782
- 3,199
Huyu mwan FA anatumika sana hata kwenye bifu na clouds fm na sugu huyu dogo alitumika pia
gamba jingine hilo atabaki hvyohvyo mwenzie ay yuko mbali
gamba jingine hilo atabaki hvyohvyo mwenzie ay yuko mbali
hapo umesema kweli .mwanafa na elimu yake amekuwa ledypepeta
Sio sawa kutaka kupambanisha vitu ambavyo haviendani. Na sidhani kama kuna tatizo show zikifanyika siku moja. Tuwatakie heri.
Uwe unasoma kwa kurudia rudia kabla hujajibu swali lolote, hata walimu wetu walituambia hvy , rudi tena kwenye heading mheshimiwa!!Hakuna dhambi mbaya hapa JF kama Dhambi ya kukurupuka...
Kwa mujibu wako Show ya Mwana FA inafanyika Tarehe 31...
Na kwa mujibu wako pia Show Ya Jide itapigwa tarehe 13...
shtuka