Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,782
- 3,199
Leo kwenye XXL ya clouds nimemsikia mwana FA akitangaza shoo yake itakayofanyika trh 31 maeneo ya makumbusho kwa kumbukumbu zangu siku hiyo nayo Ladyjdee atafanya shoo yake nyumbani lounge ya kufikisha miaka 13 ya muziki wake
Kwanii mwana FA asinge mpisha kwanza kwa sababu yeye J dee ndo aliwahi kutangaza?
Kwanii mwana FA asinge mpisha kwanza kwa sababu yeye J dee ndo aliwahi kutangaza?