Mwana FA: Sina mpango wa kufanya kazi tena na Lady Jay Dee

ana wazimu huyo hyo degree alitoa yeye chuon kwake?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bonny njaa inauma bwana

kucheka njaa inaumaaa!!!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bonny njaa inauma bwana

kucheka njaa inaumaaa!!!!
ha ha ha ha anajifanya anatujua sana huyo
 
Kwani mbona kawataja karibia wasanii watano, iweje wewe uone ni Lady Jaydee tu..?
 
Silioni kosa la Khamis Hapo, labda kama wenzetu mmeelewa vingine. Haijalishi swali lilikuwa mtego ama la! Jibu la Khamis halikuwa na ubaya. Tatizo hapa jukwaani mihemko na chuki ndizo zinazoongoza.
 
...mwanaume daima anakuwa straight;sina mpango,sina mpango..,fullstop!
...mliotaka ajibu vinginevyo mna vichembechembe vya unafki!
 
"Duke Suruali" 😀😀
 
Upo sahihi mkuu
 
Mi ni shabiki wake kitambo ila iko wazi ishu yake na Jide anai-handle ki-kike sana iko wazi walikua maswahiba na walitengeneza bonge la chemistry toka wagombane yeye kama mwanaume alitakiwa aache kuzungumzia tu kuepusha shari.
Kazungmzia au kaulizwa ulitaka ajibuje jamaa kajibu ivo ili asiendelee kisumbuliwa na maswali ya dzain hiyo mm sioni kama kakosea kuwa honest
 
Ruge Mutahaba mhaya na mroho wa hela ndiye source ya kupandikiza Mbegu ya wasanii hata ambao hawana beef "bifu" na Jide waonekane wanamchukia. Wao haya ya wasanii kugombana wanafaidika sana sana. Jide songa mbele achana na mtu kama FA kwa mafanikio ya kimuziki hakufikii bado
 
Kazungmzia au kaulizwa ulitaka ajibuje jamaa kajibu ivo ili asiendelee kisumbuliwa na maswali ya dzain hiyo mm sioni kama kakosea kuwa honest

Sio kila swali lazima lijibiwe,nakufundisha na wewe kesho ukiwa mtu unaetazamwa na kusikilizwa na watu wanaokuzunguka hautakiwi kuacha alama hasi kwenye matendo au maneno yako najua bado hauwezi kunielewa duh.
 
Kick tu za mjin anataka
Huyu fa kwan
Kuna sku jaydee ameenda kumuomba colabo
 
Huu Mji mkubwa Bwana una vituko,Akishangaa Mwambie ataliwa MTUNGO.....Kuzoea watu mwisho
atazoea majini.
 
Kwani jide ana mpango wa kufanya kazi na fa ama anatafuta kiki...yule dem next level
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…