Ukiangalia tu gap lilipo baina ya wenye nacho na wasio nacho kibongo bongo ukiweka kwa ratio maybe ni 8:2!That was a bad move linapokuja suala la kuuza commodities naona Chibu anafail kwenye pricing, hata karanga ziko 11 au 13 unauza 300, obviously watu watanunua kwa wingi mara ya kwanza kwasababu ya mzuka halafu mzuka ukiisha zitadoda. Zile perfume zake zilikuwa bei ghali sana na majority ya mashabiki wake ni watu wa vipato vya kawaida na chini ndiyo real fans
Hiyo ni kweli kabisa. Bakhresa ana akili sana, yeye commodity zake zinalenga majority. Nilisikia alisema Tanzania tuko zaidi ya milion 50, yeye akiwea kupata watanzania milion 25 ambao kila mmoja atampa shilingi mia kila mara basi inatosha.Ukiangalia tu gap lilipo baina ya wenye nacho na wasio nacho kibongo bongo ukiweka kwa ratio maybe ni 8:2!
Katika watu kumi wawili ndio wana disposable income ya kuweza kununua fancy stuff za malaki. Utapata pesa nyingi kwa mara moja ila biashara itaporomoka.
Ana akili sana mzee...falsafa yake huwa ni kuuza cheap kwa watu wengi zaidi.Hiyo ni kweli kabisa. Bakhresa ana akili sana, yeye commodity zake zinalenga majority. Nilisikia alisema Tanzania tuko zaidi ya milion 50, yeye akiwea kupata watanzania milion 25 ambao kila mmoja atampa shilingi mia kila mara basi inatosha.
sasa mbona kapandisha bei ya vifurushiAna akili sana mzee...falsafa yake huwa ni kuuza cheap kwa watu wengi zaidi.
Sasa si anataka kuwakamua tu 😂😂😂 wapenda soka.
Hivi kwa mfano mwamposa sio bilionea?Bakiza Mo,hao wengine toa hawako kwenye billions.ni wajanja wajanja tu
Umewahi kuiona nyumba aliyojenga MwanaFA? unajua gari anazotembelea MwanaFA unajua projects zote anazofanya MwanaFA? na bado amekuwa mbunge. Huyo jamaa anajitambua na ana elimu ya kutosha. Kitendo tu cha kushinda ile kesi ni kutokana na kujitambua kwake. Wengi wameibiwa kazi zao ila wametulizwa na hela ya kula wametulia. Ni yeye na AY ndio waliweza kupambana na majabari, hiyo ni akiliFedha hatari mkuu inakatika kama upepo!! Bil 1.2 imeishia kutengeneza FynByFalsafa kwa wakala?
Kulikua na nabii Estha sijui hapo zamani mikocheni nyuma ya shoppers plaza Gwajima nafkiri alikua kidato cha pili km amesoma,Hivi kwa mfano mwamposa sio bilionea?
Kwa Jumapili moja hakosi milioni 80?
Sent using Jamii Forums mob
Mwongo ni mwongo tu hata awe m'bubge ni mwongo.Msanii Hamis Mwinjuma aka mwanafa ameweka wazi kiasi cha pesa walicholipwa na kampuni ya simu iliyokuwa ikitumia nyimbo zao bila ridhaa.
Msanii Mwanafa na AY waliishitaki kampeni hiyo ya simu mahakamani mwaka 2011 na baada ya miaka 7 ya purukushani za mahakamani hatimaye mwaka 2018 walifanikiwa kupata amri ya mahakama ya kuattach akaunti ya benki ya kampuni hiyo na kufanikiwa kupata kiasi cha pesa 2.185 bilioni.
Mwanafa akihojiwa na mtangazaji Salama Jabir amesema pesa hizo zilitolewa kwenye akaunti ya benki ya kampuni hiyo ya simu na kuingizwa kwenye akaunti ya mwanasheria wao kabla ya wao kugawana fedha hizo.
Mwanafa amesema alitumia sehemu ya fedha hizo kuanzisha biashara mbalimbali ikiwemo perfume yake ya falsafa.
Mwanafa hakusita kuelezea historia ya maisha yake jinsi alivyolelewa kwa tabu kwa maisha ya kutanga tanga. Mwanafa amesimulia kuwa mara baada ya mama yake kupata ujauzito wake kulitokea sintofahamu kati mama yake na baba yake. Hali hiyo ilipelekea babu yake mzaa baba kuingilia kati na kumchukua mama yake na mwanafa na kuishi naye mpaka alipojifungua. Baada ya kujifungua babu yake alimrudisha shule mama yake na hivyo yeye (babu mzaa baba) kuendelea kulea kichanga hicho akishirikiana na bibi yake mwanafa wa kufikia (maana bibi yake mzaa baba alikuwa ameshatengana na babu yake hivyo babu yake akaoa mke mwingine).
Mwanafa akiwa na miaka 3 babu yake mzaa baba alifariki hivyo mwanafa akalazimika kwenda kuishi na mama yake aliyekuwa ameolewa jijini Dar es salaam. Akiwa na umri wa miaka 5 mama yake aliachika na kuamua kuolewa tena huku safari hii akiwa na watoto wawili mwanafa na mtoto mwingine mdogo. Kwa kuogopa kwenda kwenye ndoa na mzigo mkubwa ilibidi mwanafa arudishwa Muheza Tanga safari hii kwa Bibi yake mzaa baba na si bibi wa kufikia tena. Ameishi na kusoma muheza na sasa ni mgombea ubunge wa Jimbo la Muheza kupitia CCM.
Sikiliza zaidi
Babu Yutong moja ni Bei gani? Je wanayo mangapi? Utajiri wao ni wa miaka mingapi Sasa? Plus assets zao nyingineBakiza Mo,hao wengine toa hawako kwenye billions.ni wajanja wajanja tu
Mwana FA amejenga wapi mkuu?Umewahi kuiona nyumba aliyojenga MwanaFA? unajua gari anazotembelea MwanaFA unajua projects zote anazofanya MwanaFA? na bado amekuwa mbunge. Huyo jamaa anajitambua na ana elimu ya kutosha. Kitendo tu cha kushinda ile kesi ni kutokana na kujitambua kwake. Wengi wameibiwa kazi zao ila wametulizwa na hela ya kula wametulia. Ni yeye na AY ndio waliweza kupambana na majabari, hiyo ni akili
Anajenga mbwenj mzeeMwana FA amejenga wapi mkuu?
25,000,000 x 100 = 2,500,000,000yeye akiwea kupata watanzania milion 25 ambao kila mmoja atampa shilingi mia kila mara basi inatosha.
Ni hesabu nzuri sana na huenda anaitengeneza kila baaada ya siku tatu, maana akiuza ukwaju, juice,, icecream, nazi, unga wa ngano, sembe, maji, yani kila day lazima auze mamilion ya products zake. Azam kapiga hesabu nzuri sana.25,000,000 x 100 = 2,500,000,000
Hesabu iko vizuri.
Mbweni kule maeneo ya NBAAMwana FA amejenga wapi mkuu?
Kwahio mnachekelea..wabongo bwana umaskini umeathiri sana watu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]View attachment 1637273
Nadhani mnapishana tu lugha....yeye anamaanisha in dollars ilhali wewe unamaanisha in 'uchumi wa kati' currencyBabu Yutong moja ni Bei gani? Je wanayo mangapi? Utajiri wao ni wa miaka mingapi Sasa? Plus assets zao nyingine
📌Eeh strategy aliotumia imemlipa. Bei ya kawaida ndio key, sio ule upuuzi wa diamond na chibu perfume. Ilipotea chap sababu ya poor pricing strategy.
Kipindi cha uchaguzi alishindwa kuficha ujinga wakeNilikuwa namuheshimu yule, sasa simuheshimu tena. Sijui alikula maharage ya wapi