Mwana FA ulioanza nao game wamekutenga, kuna sehemu umekosea au tatizo nini?

Mimi shabiki mkubwa sana wa "Punch na Lines" za FA, Shabiki mkubwa sana wa Uandishi wa FA, Tokea Enzi za "Hii Leo".

Mimi shabiki mkubwa sana wa Uncle Sugu, Mashairi, Nyimbo, Politics na Hustles zake.


Leo Sugu keshamalizana mchezo na Clouds, Kwanini FA asimalize game na Sugu. FA ni Snitch

FA kutokuwepo harusini sio Coincidence lazima alikwepa kukutana na baadhi ya watu toka pande mbili hasimu alizozi snitch angeficha wapi sura yake?

Jomba anakosa mengi kwa kushindwa tu kuelewa kuwa Jana sio Leo, na kesho inajengwa na Leo.

Japo wahenga walikuwa walevi walisema "Yaliyopita si ndwele..."

FA tengeneza na wanao mfanye mambo ya maana. Ulimuona Best ako AY kajiselfie na JD.


Nyumba yetu sote kwanini tunyang'anyane fito

Hii Simu Sio Ile, Hii Ni Hii
 
Kwanza siku ya harusi ya J mwana Fa hakuwepo nchini acheni uchonganishi wala hamfaidiki.

Mwana FA anaishi maisha yake na hana tatizo na mtu...sasa hao wakina Jide na Sugu ndio wana umaana gani?
 
Mwanzo wakati alipoingilia ugomvi wa Sugu na Ruge nilidhani Sugu ndio tatizo.

Alipoingilia tena ugomvi wa Jide na Ruge ndio nikajua kumbe huyu jamaa ni "Mwanaume kama binti".

Huyu FA napenda Uandishi wake wa nyimbo lakini anatabia za kijinga snitch sana mtu wakujipendekeza sana
 

Shua FA angekua na Tabia kama za Abwene a. k.a Ay angefika Mbali tatizo snitch sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…