Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi.Kila mtu afe kivyaje, ndio maisha ya mjini
Anaishi kivyakeUko sahihi.
Ndio yeyeHivi ndiyo huyu ladyjaydee alimuimbia wimbo wa Yahaya?
Post sent using JamiiForums mobile app
ndomana sikumuona kwenye ngoma ya ama zangu ama zao.Na kwa kuongezea FA ndio chanzo kikubwa cha East Coast kuvunjika ni ****** sana huyu jamaa
Mwanzo wakati alipoingilia ugomvi wa Sugu na Ruge nilidhani Sugu ndio tatizo.
Alipoingilia tena ugomvi wa Jide na Ruge ndio nikajua kumbe huyu jamaa ni "Mwanaume kama binti".
hakuna msanii snitch kma FA
Mimi shabiki mkubwa sana wa "Punch na Lines" za FA, Shabiki mkubwa sana wa Uandishi wa FA, Tokea Enzi za "Hii Leo".
Mimi shabiki mkubwa sana wa Uncle Sugu, Mashairi, Nyimbo, Politics na Hustles zake.
Leo Sugu keshamalizana mchezo na Clouds, Kwanini FA asimalize game na Sugu. FA ni Snitch
FA kutokuwepo harusini sio Coincidence lazima alikwepa kukutana na baadhi ya watu toka pande mbili hasimu alizozi snitch angeficha wapi sura yake?
Jomba anakosa mengi kwa kushindwa tu kuelewa kuwa Jana sio Leo, na kesho inajengwa na Leo.
Japo wahenga walikuwa walevi walisema "Yaliyopita si ndwele..."
FA tengeneza na wanao mfanye mambo ya maana. Ulimuona Best ako AY kajiselfie na JD.
Nyumba yetu sote kwanini tunyang'anyane fito
Hii Simu Sio Ile, Hii Ni Hii