Mwana FA ulioanza nao game wamekutenga, kuna sehemu umekosea au tatizo nini?

Mwana FA ulioanza nao game wamekutenga, kuna sehemu umekosea au tatizo nini?

Habari wadau,

Mimi mshabiki sana wa Bongo Flavour na nafurahi sana kuona wasanii waliokuwa pamoja wanazeeka pamoja kama marafiki au hata jamaa japo maisha yanatutenganisha.

MwanaFA na Sugu mmekaa pamoja gheto majuu enzi hizo.. Nilionaga picha mpo pamoja..

Kipindi kile Sugu anapambana na unyonyaji Clouds ukamkana... Wajanja sehemu kama hizo wanakaa kimya wasijulikane wapo upande gani mfano hai Prof Jay na hata AY hawakuwa upande wa Sugu wala upande wa Clouds.

Mwisho wa siku Sugu ndiye aliempa Prof Jay mchongo wa ubunge na kupata nafasi kugombea jimbo akiwakilisha
Chadema huku mgeni kwenye chama.

Enzi Lady Jaydee ana bifu na Ruge, MwanaFa hadharani ukatumika upande wa Rge huku wajanja wenzako wamekaa kimya na mwisho wa siku wanashirikiana na kupeana michongo.

Juzi harusi ya Prof Jay wadau wa game wote wa kitambo walikuwa kama harusi yao vile full ushirikiano kuanzia Lady Jaydee, Sugu, AY na wengineo kibao wewe wamekutenga.

Unaambiwa ndugu wakigombana chukua jembe ukalime... Leo Sugu na Clouds washkaji sana, MwanaFa aibu uliyoibeba unaificha wapi?

Kesho Clouds na Lady Jaydee watapatana tena utaficha wapi aibu?

Tena mwanaFa wewe umeenda shule ungekuwa sio snitch Sugu angekubeba sana wewe nawe ubadilishe maisha yako kwenye upande wa pili.

Leo hata WCB Wasafi wanakuogopa kufanya kitu na wewe wanajua ni snitch..

Jitahidi ubadilike kaka mkubwa...

Wako mshabiki wako toka enzi za Ingekuwa vipi?
Haya bhana
 
Kwa nini mnafukua nyuzi nyingi za MeanaFA leo?
 
Habari wadau,

Mimi mshabiki sana wa Bongo Flavour na nafurahi sana kuona wasanii waliokuwa pamoja wanazeeka pamoja kama marafiki au hata jamaa japo maisha yanatutenganisha.

MwanaFA na Sugu mmekaa pamoja gheto majuu enzi hizo.. Nilionaga picha mpo pamoja..

Kipindi kile Sugu anapambana na unyonyaji Clouds ukamkana... Wajanja sehemu kama hizo wanakaa kimya wasijulikane wapo upande gani mfano hai Prof Jay na hata AY hawakuwa upande wa Sugu wala upande wa Clouds.

Mwisho wa siku Sugu ndiye aliempa Prof Jay mchongo wa ubunge na kupata nafasi kugombea jimbo akiwakilisha
Chadema huku mgeni kwenye chama.

Enzi Lady Jaydee ana bifu na Ruge, MwanaFa hadharani ukatumika upande wa Rge huku wajanja wenzako wamekaa kimya na mwisho wa siku wanashirikiana na kupeana michongo.

Juzi harusi ya Prof Jay wadau wa game wote wa kitambo walikuwa kama harusi yao vile full ushirikiano kuanzia Lady Jaydee, Sugu, AY na wengineo kibao wewe wamekutenga.

Unaambiwa ndugu wakigombana chukua jembe ukalime... Leo Sugu na Clouds washkaji sana, MwanaFa aibu uliyoibeba unaificha wapi?

Kesho Clouds na Lady Jaydee watapatana tena utaficha wapi aibu?

Tena mwanaFa wewe umeenda shule ungekuwa sio snitch Sugu angekubeba sana wewe nawe ubadilishe maisha yako kwenye upande wa pili.

Leo hata WCB Wasafi wanakuogopa kufanya kitu na wewe wanajua ni snitch..

Jitahidi ubadilike kaka mkubwa...

Wako mshabiki wako toka enzi za Ingekuwa vipi?

Fanya issue Zako aisee, Mbona kama wamwingilia sana?
 
IMG_20200808_173841.jpg
 
Back
Top Bottom