Mwana HIP HOP Langa Kileo alianza lini Hip hop. Na alifariki lini?

Mrangi mbaba wa mjini
 
Coca-Cola Pop Star mwaka 2004, ambalo lilimtoa msanii mkali wa muziki wa Bongo Fleva nchini Tanzania, Ali Kiba
Hiki chanzo cha facebook kina walakini.
Ali Kiba was already a star before hiyo coca cola pop star 2004.
Na kuna mtu humu jf naona anasema Blue ndio kamtoa kimuziki ali kiba.
Historia inapotoshwa
 
Kuna ngoma mbili..ukiacha matawi ya juu..

Kuna gangstar.. mule kauwa saana. Ilikuwa katika playlist yangu, ilikaa kichwanj yoote enzi hizo.

Kisha kuna ninaposimama ft chidi benz, aisee hizi ngoma acha tu.

Kisha kuna alishirikishwa na babuu, kimbia.. alipita vizuri.
 
Mimi sio mwanamuziki.....mi mwanaharakati...sitaki mashabiki mi nataka wafuasi.
Kama Kuna mwisho wadunia, hizi ndizo ishara.....mwadamu mpaka dini kageuza biashara.
Kuna matapeli,majini watu....vicheche na machatu....usipite pekupeku...bila kuva viatu...KIMBIA!.
Wanasema nimechange sio yule wazamani...sionekani masiksni Kwa darubini au miwani....lawama kibao utadhani mahakamani....nisipohangaika atanilisha nani?.
Urafiki sio kusmoke na kumoka....urafiki nikupeana dili....kivipi hamsini izalishe iwe miambili.
Sio yule atakuficha kama demu wako hajatulia....siku zanyuma naye alishampitia....nakugeuka mwana riadha....maadui wakivamia kama Bu nada hustler.(WADAU WANASEMA BASED ON TRUE STORY)

LYLICAL AND NATURAL GIFTED AFRICA
RAISI WA KITAA DONT GA'RA TWISTED
+APUMZIKE KWA AMANI(LANGA KILEO)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…