Dogo alikuwa talented sana,kuchwani alikuwa vzr....kasoma shule nzuri
Hiyo Vienna, kampala si masihara ujue
Makundi tu yalimuingiza kingi+ kuiga umbeleee
Alafu kuna wakati alipiga kazi barick gold,sema hakuweza kutulia kutokana na mambo fulani
Nahisi hata ndugu walikuja kujua too late, ila wangemuwahi mwanzoni wangemuokoa
Kuna wakati alihisi kutengwa,kukimbiwa na washkaji kutokana na hali yake,alikuwa anaenda resi sana
Wakati nlikuwa nakunywa sana PR CAMP BAR nyuma ya mwanamboka
Mimi binafsi nlishawahi kumface mzee kileo yule mzee owner,amchukue langa ampe mishe yyt pale kumuweka bize,maana alishakuwa junki badaye kweli mzee akamvuta pale akawa anazuga ila mbeleni km alizinguana na babu yk huyo
Inasikitisha sana kuona jinsi mwana alivyopotea gafla tu
RIP langa
Ova