TANZIA Mwana JamiiForums Miguu ya Kuku/ Mpauko afariki dunia

Nimefikiria sana hili na kujaribu kuvaa kiatu cha huyu mama msamaria mwema dah!
Dunia ina mingi mitihani
Mungu amfariji sana huyu mama na familia yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Changamoto ni namna gani ya kuthibitisha yupi tapeli yupi mwenye shida ya kweli. Kumbuka Kuna watu wametapeliwa humu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rest in Peace brother Robin.

Sijaamini kama umejiua rafiki yangu.

Ndugu zangu hasa wenye mizaha, tujifunze kutunza ndimi zetu na kuchunguza maneno yetu, hasa pale tunapoyatoa kwa mtu anayehitaji msaada wetu, kuna binadamu wenzetu wanapitia hali ambayo uchungu, adha na maumivu yake ni magumu sana kuelezeka na kueleweka kwa mtu ambaye hajawahi pitia hali husika.

Upumzike mahali pema peponi kaka yetu.
 
Behave pls...!mimi kwangu sina mtoto mlemavu wa akili...na huyu mama ni mtu mzima usitake tuharibu uzi[emoji57][emoji57]
Huyu mama better asijitokeze tu watu Wa Jf hawatohesabu wema wake Bali wataleta kashfa na mizaha
Najaribu vaa kiatu cha huyo mama hakinitoshi kabisa, unajitoa kumsaidia MTU kisha anajinyongea nyumbani kwako
..
Mungu amfariji na familia yake pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mpendwa msiba umetugusa wengi
 


Na mm nahis alifanya madhira haya kwa huyu mama...! Maana ni siku chache toka awasiliane na ss...rip...!
 


Na mm nahis alifanya madhira haya kwa huyu mama...! Maana ni siku chache toka awasiliane na ss...rip...!
 


Na mm ndo nilimdirect kwako..alikua hajui.nikambaia akusearch akaja akanianbia mwenzangu ni tajiri dah ..alishakata tamaa ..nadhan familia yake imechangia dah
 
Huyo mama mwenye mji alipojinyongea Mpauko ndiye mwenye mtoto mwenye ulemavu wa akili? Na huyo mtoto mwenye ulemavu wa akili amechangia nini kwenye tukio la jamaa kujiua? Sijaelewa ile comment ya Wangari Maathai pale juu kwenye post # 181.
 


Ila tumetofautiana...mm had mtu aje pm najua ni timamu..lazima nireply aise! Tusipende kidharau mambo hata km madogo..tubu! Na badilika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…