Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha yaani humu ndani pameshachafuka sasa.Mtu wa karibu my ass!!
Mtu wa karibu taarifa za msiba unapata leo wakati amefariki mwezi sasa!!!acha unafiki
Ila sema tu kwa sababu ya hiyo depression aliyokuwa nayo lakini kujinyongea nyumbani kwa mtu aliyeamua kumsaidia kama msamaria mwema haijakaa vizuri. Amemwachia mtihani na usumbufu mkubwa ambao unaweza kumfanya ajutie kuishi nae na majuto hayo yanaweza hata kumfanya akafikia uamuzi wa kutokuja kumsaidia tena mhitaji mwingine kwa kiwango kama hicho alichomsaidia huyo aliyejiua. Yaani aliamua kumwachia msala huyo msamaria mwema.
Changamoto ni namna gani ya kuthibitisha yupi tapeli yupi mwenye shida ya kweli. Kumbuka Kuna watu wametapeliwa humuWale wenzetu wanaokujaga huku kuomba msaada wa ada mfano @najanaja tukiwa nacho tuwasaidie kama hatuna tusiwaseme vibaya (wamekuwa wakitolewa maneno makali wengine wanadiriki kusema wasiombe watafumuliwa marinda).
Hauwezi kujua huo msaada wako anauhitaji kiasi gani na pengine ungemuokoa na maamuzi ya kujiua au hayo maneno yako ya kejeli yangempelekea ajione si kitu aamue kujiua.
Watu wengi wanaojiua ni mapenzi au hali ngumu za maisha. Tujifunze kumsaidia mtu akiwa hai. Sio hadi afe ndio tuanze kusema "hata mimi alinifuata pm ningejua ningemsaidia, au hata Mimi niliona Uzi wake nikajua ni utani.".
Ni kweli wengine wanaomba misaada wakiwa wana nia mbaya na wengine ni kweli ana shida. Ukibarikiwa moyoni saidia na usipobarikiwa kumsaidia epuka kumtolea maneno ya kejeli.
Leo kuna watu wakisikia Najanaja kajinyonga kwa sababu alishindwa kuendelea na masomo na hata biashara alizotamani kufanya alikosa mtaji, watu wataishia kusema " ningejua ningemsaidia". Kama upo kwenye nafasi ya kumsaidia mtu msaidie usisubiri afe ujilaumu.
NB. Kuna watu pia watasema Mimi ni Naja naja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mama better asijitokeze tu watu Wa Jf hawatohesabu wema wake Bali wataleta kashfa na mizahaBehave pls...!mimi kwangu sina mtoto mlemavu wa akili...na huyu mama ni mtu mzima usitake tuharibu uzi[emoji57][emoji57]
Pole sana mpendwa msiba umetugusa wengiNimeumia Sana.
Nimekumbuka alishawahi nipm sikujua Kama ni mpauko..kumbe alikuwa akitumia jina la miguu ya kuku.
Nilimjibu baada ya mwezi kupita lakini hakunijibu Tena.
Na Mimi akili ya kufwatilia japo posts zake Sikuwa nayo..laiti ningejua Kama miguu ya kuku ndiye huyo mpauko basi ningefanya bidii zaidi kumtafuta japo kuongea naye.
Mungu nirehemu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mama better asijitokeze tu watu Wa Jf hawatohesabu wema wake Bali wataleta kashfa na mizaha
Najaribu vaa kiatu cha huyo mama hakinitoshi kabisa, unajitoa kumsaidia MTU kisha anajinyongea nyumbani kwako
..
Mungu amfariji na familia yake pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mama better asijitokeze tu watu Wa Jf hawatohesabu wema wake Bali wataleta kashfa na mizaha
Najaribu vaa kiatu cha huyo mama hakinitoshi kabisa, unajitoa kumsaidia MTU kisha anajinyongea nyumbani kwako
..
Mungu amfariji na familia yake pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mtu kaomba msaada na una mashaka unaweza kuamua kutokutoa msaada wako lakini epuka kutoa maneno ya kejeli kwake.Changamoto ni namna gani ya kuthibitisha yupi tapeli yupi mwenye shida ya kweli. Kumbuka Kuna watu wametapeliwa humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyemuongelea hapo juu ni huyo huyo robin ila hapo kwa kipofu ndiye sieNahisi sie huyu mkuu. Ni watu wawili tofauti
Mimi pia nina tatizo kama lake ( kutosikia vizuri) .nilitumia hali hiyo kumpa moyo kila namna kwamba it's OKAY.nilikuwa nampa maneno ya kila namna kumuongezea nguvu ya mapambano ya maisha.but alikuwa na moyo mwepesi mnoo.amenisikitisha sana kwa maamuzi aliyochukua.nimejikuta namwaga chozi kutwa nzima leo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Joanah tupo kwenye majozi usifanye tutabasamuMtu wa karibu my ass!!
Mtu wa karibu taarifa za msiba unapata leo wakati amefariki mwezi sasa!!!acha unafiki
Nafikiri yupp busy maana hata nimempigia hajapokea na humu atakuwa hajaingia pia.
Kama ni kweli kuna haja ya kuwa na kitengo cha saikolojia humu ndani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kuna wengine ni walemavu sijui wa akili , au kazi za migahawa zimewaasili kila kitu chai , chai ...kula kulala kwao hawajui kbs maana ya kukwama katika maisha
Aaagh kumbe wewe ndie dada manengelo!!! He said ..." manengelo ni mwanamke mwema sana"
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo mama mwenye mji alipojinyongea Mpauko ndiye mwenye mtoto mwenye ulemavu wa akili? Na huyo mtoto mwenye ulemavu wa akili amechangia nini kwenye tukio la jamaa kujiua? Sijaelewa ile comment ya Wangari Maathai pale juu kwenye post # 181.Huyu mama better asijitokeze tu watu Wa Jf hawatohesabu wema wake Bali wataleta kashfa na mizaha
Najaribu vaa kiatu cha huyo mama hakinitoshi kabisa, unajitoa kumsaidia MTU kisha anajinyongea nyumbani kwako
..
Mungu amfariji na familia yake pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubarikiwe mpendwa hakika umenenaKama mtu kaomba msaada na una mashaka unaweza kuamua kutokutoa msaada wako lakini epuka kutoa maneno ya kejeli kwake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeumia Sana.
Nimekumbuka alishawahi nipm sikujua Kama ni mpauko..kumbe alikuwa akitumia jina la miguu ya kuku.
Nilimjibu baada ya mwezi kupita lakini hakunijibu Tena.
Na Mimi akili ya kufwatilia japo posts zake Sikuwa nayo..laiti ningejua Kama miguu ya kuku ndiye huyo mpauko basi ningefanya bidii zaidi kumtafuta japo kuongea naye.
Mungu nirehemu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ulikuwa unamfuatilia nyuzi zake alizokuwa akituma usingeandika hii comentKwani unahakika gani kama amejiua kisa maisha magumu? Vp kama alichoka kudhihakiwa kisa tatizo lake la kusikia?
Sent using Jamii Forums mobile app