TANZIA Mwana JamiiForums Miguu ya Kuku/ Mpauko afariki dunia

Dada @Wagari Maathai hivi yule Mayala B si yule dogo msukuma(beira) mnapenda kutaniana sana humu jukwaani , maana huwa nazani ni moja ya ID yake. Naomba ufatilie.....nilitaka niku-PM ila umefunga


Sina hakika mkuu kama ni yeye..!mm uzi wa mayala sijausoma ila nimeona wengi wamemtaja .sijajua shida nn!mara ya mwisho alisema anaenda mpanda nadhan
 
Shetani la mguu mmoja, halafu linajifanya linamjua Mungu, pumbavu zake mshenzi huyo [emoji20]
Hakuna watu wenye roho mbaya kama hao wanaojiita wafia Dini , Ni Bora uende bar kwa wanywa pombe wako royal kuliko hiyo mi-minguruwe inayojifanya mitoto ya Mungu ... .


Ukisoma threads za marehemu huyu Yehodaya amechangia kiasi kikubwa kumuua.... Pitia Uzi wa marehemu akiomba Ada utaliona hili lishetani likijitanabaisha bila kificho.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora wewe umepata muda wa kumpiga shule. Mimi niliona nisiendelee kum-quote ili kuepusha mengine.
 
Mwenyewe nilishaona alivyokua akimuharishia kijana masikini na kiziwi wa watu, ni comment yako hapo juu nimeisoma ndio nikarejewa na zile bulling zake kwa Robin

Honestly this beast YEHODAYA won't make heaven, ni likarani la kuzimu, ana maneno makali sana halafu alimuandama sana Robin kwenye threads zake zote.

Laana unayo ewe shetani YEHODAYA 🙄
 
Jesus! Huyu awe wa mwisho, mwenzetu akileta tatizo lake tumshauri vizuri na kumsaidia. Ufanyike utaratibu wa ku verify taarifa zake then tuchukue hatua kama jamii. Pumzika kwa amani kamanda

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa nltaka nmsaidie

Nltaka akakae kwa baba yangu huko nchini

Ila ndo kukaibuka ka kipindi ka utapeli humu ndani

Hadi nikaogopa
. Hapa nilipo moyo unaniuma

Nmeshindwa kuokoa maisha ya mtu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Go to hell YEHODAYA...

Utakufa kwa laana Ibilisi wa mguu mmoja wewe... Bahati mbaya ni mwanamke ila ana roho mbaya Kama mwanajeshi wa alshabaab

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nop...sio unavyofikiria...mm napenda siasa naturally..naandika nachopenda...naweza andika same na atakavyoandika mwingine akaja akakuattack ..najua hakuna kbs chama cha siasa kitakachinilitea chakula mezani...najua!so unabaki shangaa
Sawa Wangari.
 


Huo uzi mm sijawah uona maskini ingawa alinishirikisha..yehodaya ndezi tu..ana mashauzi kisa mumewe katibu tarafa😏
 


Huo uzi mm sijawah uona maskini ingawa alinishirikisha..yehodaya ndezi tu..ana mashauzi kisa mumewe katibu tarafa😏
 
Huo uzi mm sijawah uona maskini ingawa alinishirikisha..yehodaya ndezi tu..ana mashauzi kisa mumewe katibu tarafa[emoji57]
Pitia nyuzi zake utaona Uzi wa kutaka pesa ya kupata vyeti vyake ... Aliweka documents zote ila Hilo li ibilisi likawa linambully.. alilipa mpaka namba ya mkuu wa Chuo DM likaja kuandika eti kwanini limepewa namba PM huo ni Utapeli ...


YEHODAYA roho ya marehemu iko na kimvuli chako Hadi utakapokufa kwa kuzaa , utakuja niambia shetani wewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
GENEUS

Portfolio | 2020
 
Jamaa inaonekana alikuwa ana waPM watu wengi...Don't look it positive.

Portfolio | 2020
 
Hongera kwa wewe ambaye angalau ulijitahidi kumshika mkono
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…