Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shetani la mguu mmoja, halafu linajifanya linamjua Mungu, pumbavu zake mshenzi huyo 😞
Dada @Wagari Maathai hivi yule Mayala B si yule dogo msukuma(beira) mnapenda kutaniana sana humu jukwaani , maana huwa nazani ni moja ya ID yake. Naomba ufatilie.....nilitaka niku-PM ila umefunga
Hizo ni forms za depression na bipolar iliyokomaa , alijitaji pia msaada wa kimawazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna watu wenye roho mbaya kama hao wanaojiita wafia Dini , Ni Bora uende bar kwa wanywa pombe wako royal kuliko hiyo mi-minguruwe inayojifanya mitoto ya Mungu ... .Shetani la mguu mmoja, halafu linajifanya linamjua Mungu, pumbavu zake mshenzi huyo [emoji20]
Exactly. Alikuwa anatafuta justification tu ya kufanya kweli.Nadhani Roho ya mauti ilimvaa.
Roho ya mauti ikishakuja hayo mawazo yote huwa hayapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora wewe umepata muda wa kumpiga shule. Mimi niliona nisiendelee kum-quote ili kuepusha mengine.Uandishi katika public forums ni taaluma mkuu, wewe ulitaka swali lieleweke tofauti na ulivyoandika hivyo haya maswali hayataisha!
Kuuliza 'anatumia hiyo simu kwa malengo gani' kunaleta utata kuwa ama hujafurahishwa na huyo dogo kutumia simu ya marehemu / ama huyo dogo anafanya jambo baya sana kutumia simu ya marehemu / ama una wasi wasi na mmiliki wa simu kuwa hajafa na anaendelea na matumizi ya simu!
Then mwishoni ulipoonyesha kuwa nawe ulishatumia simu ya marehemu ndipo watu wanapata hasira kwa sababu Kiafrika malengo ni yale yale ya kutoa taarifa kwa marafiki wataopiga hiyo simu (Kama hivi imesaidia nasi tukapata/ kutrace madeni/ ana family ingine/ miradi na n.k). Iweje ushatumia simu ya marehemu halafu unauliza malengo? wewe ulitumia kwa malengo yepi? ulitumia muda wa miezi miwili then unashangaa mwenzio kutumia kwa mwezi tuu?
Tujitahidi kuweka maandishi kadiri tunavyowaza ili ujumbe tunaodhamiria ufike bila utata!
Mwenyewe nilishaona alivyokua akimuharishia kijana masikini na kiziwi wa watu, ni comment yako hapo juu nimeisoma ndio nikarejewa na zile bulling zake kwa RobinHakuna watu wenye roho mbaya kama hao wanaojiita wafia Dini , Ni Bora uende bar kwa wanywa pombe wako royal kuliko hiyo mi-minguruwe inayojifanya mitoto ya Mungu ... .
Ukisoma threads za marehemu huyu Yehodaya amechangia kiasi kikubwa kumuua.... Pitia Uzi wa marehemu akiomba Ada utaliona hili lishetani likijitanabaisha bila kificho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa nltaka nmsaidieJesus! Huyu awe wa mwisho, mwenzetu akileta tatizo lake tumshauri vizuri na kumsaidia. Ufanyike utaratibu wa ku verify taarifa zake then tuchukue hatua kama jamii. Pumzika kwa amani kamanda
Sent using Jamii Forums mobile app
Go to hell YEHODAYA...Mwenyewe nilishaona alivyokua akimuharishia kijana masikini na kiziwi wa watu, ni comment yako hapo juu nimeisoma ndio nikarejewa na zile bulling zake kwa Robin
Honestly this beast YEHODAYA won't make heaven, ni likarani la kuzimu, ana maneno makali sana halafu alimuandama sana Robin kwenye threads zake zote.
Laana unayo ewe shetani YEHODAYA [emoji849]
Jianamke baya sana hili, lina mafunzo ya ubobezi wa kutoa roho za watuGo to hell YEHODAYA...
Utakufa kwa laana Ibilisi wa mguu mmoja wewe... Bahati mbaya ni mwanamke ila ana roho mbaya Kama mwanajeshi wa alshabaab
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa Wangari.Nop...sio unavyofikiria...mm napenda siasa naturally..naandika nachopenda...naweza andika same na atakavyoandika mwingine akaja akakuattack ..najua hakuna kbs chama cha siasa kitakachinilitea chakula mezani...najua!so unabaki shangaa
Hakuna watu wenye roho mbaya kama hao wanaojiita wafia Dini , Ni Bora uende bar kwa wanywa pombe wako royal kuliko hiyo mi-minguruwe inayojifanya mitoto ya Mungu ... .
Ukisoma threads za marehemu huyu Yehodaya amechangia kiasi kikubwa kumuua.... Pitia Uzi wa marehemu akiomba Ada utaliona hili lishetani likijitanabaisha bila kificho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna watu wenye roho mbaya kama hao wanaojiita wafia Dini , Ni Bora uende bar kwa wanywa pombe wako royal kuliko hiyo mi-minguruwe inayojifanya mitoto ya Mungu ... .
Ukisoma threads za marehemu huyu Yehodaya amechangia kiasi kikubwa kumuua.... Pitia Uzi wa marehemu akiomba Ada utaliona hili lishetani likijitanabaisha bila kificho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pitia nyuzi zake utaona Uzi wa kutaka pesa ya kupata vyeti vyake ... Aliweka documents zote ila Hilo li ibilisi likawa linambully.. alilipa mpaka namba ya mkuu wa Chuo DM likaja kuandika eti kwanini limepewa namba PM huo ni Utapeli ...Huo uzi mm sijawah uona maskini ingawa alinishirikisha..yehodaya ndezi tu..ana mashauzi kisa mumewe katibu tarafa[emoji57]
GENEUSHivi mkuu, kwa Hali ya kawaida kabisa, ya kawaida kabisa , Kuna mtu anaweza akawa yuko vyema alafu akaingia kwenye utapeli ?? Shida..shida hizo mkuu ,
Kuna siku fulan niko Mwenge naenda Morocco, kapanda mtu kwenye gari , kaomba msaada (anasema ni kipofu) ila ukweli huyo mwamba sio kipofu alishtukiwa , watu wachache Sana tulimpa msaada , alivyo shuka , mtu aliekua pembeni yangu akaniambia "umetapeliwa" nikamwambia , siku yeyote ukakutana na mtu wa hivi akikuomba pesa au msaada wowote Kama uko ndani ya uwezo wako mpe , mpaka mtu anafikia hatua hiyo jua Hali ishakua tete , Kila kitu kimeteli , ni shida sio kwamba anapenda , shida za dunia hii
Siku nyingine jiran na mliman city , usiku mzito , nikakutana na jamaa na mkewe , ukiwaangalia walivyo ni Kama wakurugenzi jamaa akanisimamisha , akanisalimia akaniambia , huyo unae muona ni mke wangu na yule mtoto anaelia ni mwanangu , mtoto mgonjwa na hapa Sina pesa, aliomba pesa ya dose, nikampa pamoja na yakutumia ..siku nyingine tena Mwenge hapo hapo, binti kaniomba naul, pesa ndogo niliyokua nayo ni 2000, nikampa, sasa wakati narudi geto nikamwona anatoka dukani (nahisi alinunua unga au mchele) nikaamua badili uelekeo faster asinione angejisikia vibaya Sana
The point is, Mungu inawezekana kakupa kidogo, ila mwenzio wakati au siku hiyo hana, swala la utapeli kwenye shida lifute kabisa mkuu, hata Kama unajua kabisa huyu ananidanganya , ukiweza saidia msaidie tu , ni shida sio yeye, hutofilisika na Mungu akubariki ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa inaonekana alikuwa ana waPM watu wengi...Don't look it positive.Maisha kweli ni kitu cha kupita; huyu ndugu niliwahi kuwasiliana naye siku za nyuma kupitia Inbox. Nikamtumia mzigo fulani kwa Moneygram lakini akasumbuliwa sana kuupokea mwishowe baada ya zaidi ya mwezi hivi ukanirudia mwenyewe.
Nasikitika kuwa niliplani kutumia tena kwa njia nyingine lakini baadaye tukakosa mawasiliano hadi leo ninaposoma post hii.
View attachment 1369240
Kwa bahati mbaya sikuwahi kusoma threads zake hata siku moja zaidi ya PM tu.
Naedelea kufuatilia Mtwara kwa wazazi wake nipate taarifa kili nitawajuza
Lakini ile 1.6 ilishapatikana na vyeti alivichukua tangu mwaka Jana, issue ikawa kumtafutia uwezekano Wa ajira maalumu pia support kwa mambo mengine.
Kwa taarifa wakati nikiwasiliana nae kabla hajapotea hewani kwa kufungiwa simu ni alikuwa akiishi kwa mama mmoja ambae ni member humu Jf so I wish huyo mama aje hapa athibitishe jambo hili wakati nasubiri uthibitisho kutoka MTWARA pia.
Tafadhali mdau Wa Jf uliekuwa unaishi na huyu ndugu njoo utupe uthibitisho .
Alifikia High peak of Depression mbaya hakupata mazingira rafiki ya kupunguza hiyo level ya Depression.Marehemu mm nilikua nachat naye sana kwanza ni mlalamishi kwa kila kitu..then alikua na hasira! Apumzike tu sasa