TANZIA Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia

Mkuu any updates....
 
Buriani Dena Amsi.
Sisi wana JF tunatoa mkono wa kwaheri.
Rambirambi na maombolezo yetu ni heshima kwako.
Mwenyezi Mungu na akufutie hatia zako zote. AMEN
Sisi ni waja wake na kwake tutarejea.
 

Pumzika Kwa Amani ndugu.... pole Kwa familia yake[emoji1488][emoji1488]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…