Mwana JF aitwaye Kuberwa kuolewa

Wakati wa zawadi Bukoba nzima itajua tu kuwa kundi la wana JF linaenda kutoa zawadi. Ila sasa baadae mtataka picha zake ......mie nitapiga za mgongo kama alivyojipiga hiyo ya kisogoni
hahahahaha hiyo kali mkuu lol!!
 
Kuberwa tunasubiri mwaliko kutoka kwako,nisalimie shem.
 
Kuberwa kila la kheri katika maandalizi na ndoa Pia.
Mwenyezi Mungu akubarikini iwe ndo ya amani na upendo wa dhati!

Pamoja Saana.

AshaDii.
 
vikao vinafanyikia wapi? omumwani au buyekera? tujuzane jamani.ninyenda akaramba waitu.
------- SONG ------
Ugambecho kibero kueke..
Ugambecho kitanda kushwele bojo. Mia
Ahaaa!!hamsini!
 
jamani karibuni! Harusi ni kesho hapa Kamachumu. Nashukuru kwa pongezi zenu za dhati na support, Mwenyezi awabariki nyote. Munyegere na ababuhaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…