[emoji15]Mtaje basi nimeacha kula nakusubiri umtaje
Utaikosa zawadi yako ivi ivi ya Xmas nakucheki tu apaMimi hata nisipomtaja kura yangu iko wazi...
MwanaJF wangu bora ni....
Mtaje sasa..ili mtu awe bora lazima awe amefanya yafuatayo:
1. ametoa fursa za ujasiria mali hapa jf
2. ametoa misimamo ya namna ya kujikomboa kutoka kwenye umaskini hadi utajiri
3. mada zake zina ukombozi na zina uzalendo kwa mtanzania
4. ameimiza sana vijana kupiga kazi na kujikomboa na umaskini
5. hana itikadi za chama chochote cha siasa,yeye ni mshauri tu wa jambo lolote
MWISHO: MWENYE HIZO SIFA HUMU NDO ATAKUWA GREAT THINKER BORA
...Ally Kiba!Mimi hata nisipomtaja kura yangu iko wazi...
MwanaJF wangu bora ni....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] uwiiiiiiii nimecheka sana.Utaikosa zawadi yako ivi ivi ya Xmas nakucheki tu apa
Kwani Ali Kiba ni mwanaJF?[emoji15]...Ally Kiba!
Mwanga lutilaHakuna aliyebora zaidi isipokuwa wote ni bora.
Anayepost ujinga tunajifunza
Anayepost ya maana tunayatafakari na kuyafanyia kazi.
Kwangu humu ndani wote bora, kwani mwerevu anaweza kujifunza zaidi kutokana na mambo ya kijinga kuliko mjinga kujifunza kutokana na mambo ya busara.
Hivyo kila mmoja humu ni muhimu na ana nafasi yake katika kuiendeleza jamiiforums.
Boro ndio nini.kama kuna boro basi wa hovyo yupo
mi nasubiri wa hovyo