Magna Carta
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 4,347
- 6,652
Hongera sana Mshana Jr , Sikukuu Njema Kwa Wana Jf Wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshana Jr shikamoo
Hongera sana Mshana Jr , Sikukuu Njema Kwa Wana Jf Wote
mshana jr yuko safi mno kwenye hili eneo.Hongera mkuu!
Mshana Jr shikamoo
kongole sana @ Mshana jr
Kusifiwa ni mojawapo ya mahitaji muhimu ya mwanadamu, mengine ni kupendwa kuheshimiwa na kujaliwa utu wake
Mtu akikusifia unajisikia vizuri... Nami nasema nimejisikia vizuri LAKINI bila ninyi bila JF yote haya yasingekuwepo kwahiyo hii ni teamwork ASANTENI SANA
kheee ina maana hawakuniona na mm humu kuwa ni mwanajf bora wa kike humu nndani mjengoni?Kusifiwa ni mojawapo ya mahitaji muhimu ya mwanadamu, mengine ni kupendwa kuheshimiwa na kujaliwa utu wake
Mtu akikusifia unajisikia vizuri... Nami nasema nimejisikia vizuri LAKINI bila ninyi bila JF yote haya yasingekuwepo kwahiyo hii ni teamwork ASANTENI SANA
Long time no see you rafiki hope God is goodkheee ina maana hawakuniona na mm humu kuwa ni mwanajf bora wa kike humu nndani mjengoni?
all the time God is good bestito nimekumisije wee acha si unajua majukumu ya kulea ndo hivyo tunaanza kuingia tena ulingoni ila wameniboa kutokuniweka nami kuwa ni bora kwa mwaka janaLong time no see you rafiki hope God is good
Tulikuona sana bestito, lakini vigezo na masharti alikidhi atotokheee ina maana hawakuniona na mm humu kuwa ni mwanajf bora wa kike humu nndani mjengoni?
basi mwaka huu nioneni na mm jamani mweee msinionee bure maana nami ni famous hahahahahaaaaTulikuona sana bestito, lakini vigezo na masharti alikidhi atoto
basi mwaka huu nioneni na mm jamani mweee msinionee bure maana nami ni famous hahahahahaaaa