K 4 LIFE [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ila zile team team ziliwapandisha sana wasanii wetu wale mpaka hapa walipo" yan wale die-hard fansKama wangeruhusu ingekuwa hatari sana. Now sumbai kawa rafiki yangu sana
Haha et mkawa mnasema tunakuja kwenye uzi wenu kutafta madem [emoji2] [emoji23] [emoji2] nilkua nacheka yani dahK 4 LIFE [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anaanzisha thread anakuambia muambie ni nani anayeitwa K 4 REAL akupe pesa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilikuwa nacheka sana pipo za upande wenu zilivyokuwa zikimwaga povu
Die-hards fans hahahaha nikikumbuka nacheka sana.Ila zile team team ziliwapandisha sana wasanii wetu wale mpaka hapa walipo" yan wale die-hard fans
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haha et mkawa mnasema tunakuja kwenye uzi wenu kutafta madem [emoji2] [emoji23] [emoji2] nilkua nacheka yani dah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Die-hards fans hahahaha nikikumbuka nacheka sana.
Haha unakumbuka pwilo akikosa chakuongea utaskia..Die-hards fans hahahaha nikikumbuka nacheka sana.
Tukianza kuwalalamikia mods kufuta comments zetu[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ataanza kebekebe kitu kama hicho. HahahahahHaha unakumbuka pwilo akikosa chakuongea utaskia..
Abu kiba, Kiba bude haha anajua ndugu zake kiba wote jamaa
Kebekebe kiba bude, Abu kiba [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndioooooo
Hivo hivo hahaaa"Ataanza kebekebe kitu kama hicho. Hahahahah
Back those daysHivo hivo hahaaa"
Mheshimiwa kabana mpk penaltii!Faizafoxy siku hizi amestaafu, maana namsikia kwa nadra sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mheshimiwa kabana mpk penaltii!
Yale mahaba aisee. Ulikuwa unagombana na sisi kwa kingereza. Teh Teh. Nilikiwa nikikuona nasikia kichefu chefu.Aisee ilikuwa ni hatarii... Utadhani tulikuwa twalipwa...!??
nilikula ban kila kifungo kikiisha narudishwa. Diva Beyonce nae alikuwa mkorofi.Hahahaha kedrick. cute b ndo alikuwa anampa makavu live aisee.
Hahahah ban ilikuzoea aisee. Kile kipindi acha kabisa.nilikula ban kila kifungo kikiisha narudishwa. Diva Beyonce nae alikuwa mkorofi.
sumbai alikuwa mchonganishi hatari
vote vote vote... [HASHTAG]#uzalenzo[/HASHTAG]Hahaha noma yan jf wangekua wanaruhusu matuc basi kila aina ya tusi tungetukana kipindi kile...
Yan kama nifah sikutegemea tunaweza kuja patana ww [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Burudani na pressure juu.
Watu temper zinapanda hadi tunakula ban unafanya masikhara?
Matusi nje nje [emoji23][emoji23][emoji23]
Big family. Namuona Shardcole analisongesha
Sio siri i miss that good big family.