Oyooooo.... Nimependa hiyo "mwanamke wa maisha yangu"
Mkuu mimi nina busara za kutosha na wala usiwe na shaka!!Haya Mussolin5 nimekuita huku sema mwenyewe una busara au una nini na mambo yako ya chumvi uvinza
AminiaMkuu mimi nina busara za kutosha na wala usiwe na shaka!!
Daaah asante mamaMi namkubali sana Uncle ben na The boss wako makini kwa kweli.
Hahaha big boi sikuiona aisee hii ndio naiona sasa hivi ,mpaka nashangaa ila nashukuru
Awwww thank you so so much. [emoji120] [emoji120] [emoji120]Kwenye busara wako wengi, ninaowakumbuka fasta ni hawa wafuatao:-
Mshana jr.
Heaven sent
The boss
Tized
Wengine nitawajazia majina yamepaa, hawa ukiwatukana au kuwaudhi hawarudishi au kuweka ligi nawe na ukibishana nao wanapinga kwa nguvu ya hoja na wakishindwa huwa wanakubaliana nawe.
Wenye nyodo wapo wengi ilaaa[emoji22] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Takbih!tusimsahau mzee wetu wa mitaa ya kkoo.mzee Mohamed said.
yule mzee ana busara sana.majibu yake siku zote yamejaa hekima.huwa tunamtukana sana anapo anzisha mijadala yake.
nadhani hekima ya kiutu uzima inasaidia kumuuongoza.vinginevyo humu ndani pangekuwa panachimbika.
CC Mohamed Said
Nadhan sasa umemuona..mana kakujibu hapo.
Nadhan sasa umemuona..mana kakujibu hapo.
munawar[emoji125] [emoji125] [emoji125]"we pasua tu huna hela we sisimizi tukutane msimbazi ujue mimi ni nani" naomba kukumbushwa mwenye jina hili nahisi ni mmoja wa wenye nyodo humu na sijui kaenda wapi
swadakta jina lilinitoka huyu gari la milioni kumi anauza 15 sasa bisha uone kazi najua akifufuka huko lazima aje anitoe ndukimunawar[emoji125] [emoji125] [emoji125]