Mwana JF Mwenye Nyodo Vs Busara

Mwana JF Mwenye Nyodo Vs Busara

Nilikupa ONYO mara ya kwanza kwamba achana na Mimi hukusikia na leo tena nakupa ONYO kali la pili kuwa achana na Mimi na mara ya tatu usije kunilaumu tafadhali. Nisalimie kwenu huko Chamanzi na kule kwa Hawara yako Mbezi Beach. Naona siku hizi umeamua kuwa MLOKOLE ili kuficha UFUSKA wako huo unaoufanya na Bosi Mume wa Mtu. Hii ni mvua tu ya rasha rasha Bibie endelea " kujaa " katika " njia " Mnyarwanda Mimi wa Kitutsi NIMALIZE BIASHARA ili TUHESHIMIANE humu. Tambua ya kuwa NAKUFAHAMU A to Z nikimaanisha upo kiganjani kwangu. NIMEMALIZA!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] au mrudie kwa zile ID zako nyingine

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom