Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Mimi kama mwana jamii forum niko mbion sana kuachia ngoma yangu mpya na ya kwanza kabisa maana sijawah achia ngoma hata moja
Ngoma yangu inakwenda kwa jina la HABARI ZIFIKE ngoma hii nilitunga mwenyewe lakin baadh ya mistar niliingiza humo baada ya kuambiwa na boss wangu hamisa mobeto aliye shiriki kutunga nami kwa njia ya pm ya insta
Ngoma hii imetengenezwa na BIN LA DEN wa tongwe rekod kupitia studio yake ya dodoma
Bin la den ndo mtu aliyeniunganisha na hamisa maana mimi studio nilienda kwa pesa zangu lakin nilikuwa nahitaji MENEGER WA KUPUSH NGOMA ZANGU ILI ZIKIKI NA KUSIKIKA
nitaachia audio baada ya week moja au mbili video itafuata
Team yangu ni kubwa sana maana hamisa siyo wa kimuchezo mchezo
Ngoma bado producer bin la den ana malizia mixing then ndo tuachie
Bos wangu kanihakikishia kuwa tutakuwa bega kwa bega kwa kila tour ya redio na tv ili kupush ngoma yangu
NAOMBEN MNIPE SAPOT NDUGU ZANGU WA JF HAKIKA TUTASHINDA maana kuna sehemu jf nimeitaja kwenye hiyo ngoma
ASANTEN SANA
LONDON BABY
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Mimi kama mwana jamii forum niko mbion sana kuachia ngoma yangu mpya na ya kwanza kabisa maana sijawah achia ngoma hata moja
Ngoma yangu inakwenda kwa jina la HABARI ZIFIKE ngoma hii nilitunga mwenyewe lakin baadh ya mistar niliingiza humo baada ya kuambiwa na boss wangu hamisa mobeto aliye shiriki kutunga nami kwa njia ya pm ya insta
Ngoma hii imetengenezwa na BIN LA DEN wa tongwe rekod kupitia studio yake ya dodoma
Bin la den ndo mtu aliyeniunganisha na hamisa maana mimi studio nilienda kwa pesa zangu lakin nilikuwa nahitaji MENEGER WA KUPUSH NGOMA ZANGU ILI ZIKIKI NA KUSIKIKA
nitaachia audio baada ya week moja au mbili video itafuata
Team yangu ni kubwa sana maana hamisa siyo wa kimuchezo mchezo
Ngoma bado producer bin la den ana malizia mixing then ndo tuachie
Bos wangu kanihakikishia kuwa tutakuwa bega kwa bega kwa kila tour ya redio na tv ili kupush ngoma yangu
NAOMBEN MNIPE SAPOT NDUGU ZANGU WA JF HAKIKA TUTASHINDA maana kuna sehemu jf nimeitaja kwenye hiyo ngoma
ASANTEN SANA
LONDON BABY